The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Wapi? miye mbara tena chinga................hila wanvutia kwa madoido yao hao.......ati! Shufaa kumbe ni apple?
nini Twaiba kuna vitu vya Milhat Humaymat,Farhiya,Hyrat,Najat,Hytham,Zulekha,Suhaila..............
Ha kumbe we chinga?
nyie ndo wale 'kumnyima mtu kitu unacho wajisikia vibaya' lol
Halafu hao kina Suhaila hao wengi wao mbwembwe tu
unakuta jina halisi Mwanakombo lakini ukimuuliza atakwambia Suhaila lol
nilimpata mmoja anajiita Yumnah...kumbe ni Zakia lol