Muhudumu wa hoteli, logde au bar ili kumuoa naye anahitaji kuchunguzwa?

Muhudumu wa hoteli, logde au bar ili kumuoa naye anahitaji kuchunguzwa?

kataip

Senior Member
Joined
Aug 21, 2013
Posts
145
Reaction score
80
Wanajukwaa naomba kusaidiwa kuchumbia mwanamke anaefanya huduma sehemu tajwa vipi anahitaji kuchunguzwa zaidi na keshasema ukweni yeye ni bikra na yupo tayari kuwa mke.

Mawazo yenu tafadhali
 
Unaomba kusaidiwa kuchumbia mwanamke?
 
Wanajukwaa naomba kusaidiwa kuchumbia mwanamke anaefanya huduma sehemu tajwa vipi anahitaji kuchunguzwa zaidi na keshasema ukweni yeye ni bikra na yupo tayari kuwa mke.
Mawazo yenu tafadhali
Niandae kusaidiwa huduma zingine, wakarimu sana hao watu.
 
Kuna tofauti Kati ya guest house,bar,lodge na hotel.yeye anafanya kazi wapi.

Tuachane na hilo mkuu..wewe unaoa kazi Yake au unamuoa huyo bidada?

Ukitaka kufanya jambo lako mkuu wewe fanya tu maana ukitegemea mawazo ya watanzani unaweza kujikuta umeshakufa huku umesimama.hatujawahi kuwa ni watu wa kupongeza mtu a apo fanya jambo zuri (ingawa si wote lakini wengi wetu tunakuwa na roho ya kukatisha tamaa)

Unampenda?umeridhishwa nae?mkuu weka chombo ndani acha mambo ya ajabu
 
We oa tu kugongewa kupo tu kama mwanamke ajitambui maana ata wanaofanya kaz maofisin wanaliwa na wafanyakaz wenzao, ma-ex, waliokuwa college mate, nk pia.
 
Wanajukwaa naomba kusaidiwa kuchumbia mwanamke anaefanya huduma sehemu tajwa vipi anahitaji kuchunguzwa zaidi na keshasema ukweni yeye ni bikra na yupo tayari kuwa mke.
Mawazo yenu tafadhali
"....na keshasema ukweni yeye ni bikra na yupo tayari kuwa mke"
Mwisho wa kunukuu. ✍️
🙄
 
Weoa tu mkuu, kuna mwenzio huku walikutana matako bar... ndio tumetoka kupeleka mahari juzi, na vikao vya harusi vinaanza kesho...😂
 
Kuna tofauti Kati ya guest house,bar,lodge na hotel.yeye anafanya kazi wapi.

Tuachane na hilo mkuu..wewe unaoa kazi Yake au unamuoa huyo bidada?

Ukitaka kufanya jambo lako mkuu wewe fanya tu maana ukitegemea mawazo ya watanzani unaweza kujikuta umeshakufa huku umesimama.hatujawahi kuwa ni watu wa kupongeza mtu a apo fanya jambo zuri (ingawa si wote lakini wengi wetu tunakuwa na roho ya kukatisha tamaa)

Unampenda?umeridhishwa nae?mkuu weka chombo ndani acha mambo ya ajabu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Achukue chombo bikra au sio
 
Back
Top Bottom