Kapata mke tena bikra yeye anambwela. Anapenda breki mbupu huyuAtie ndani chuma aachane wenge.jf haiendi kuishi na mkewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapata mke tena bikra yeye anambwela. Anapenda breki mbupu huyuAtie ndani chuma aachane wenge.jf haiendi kuishi na mkewe
Umeanza mabalaa yako.hebu niwache mimiKapata mke tena bikra yeye anambwela. Anapenda breki mbupu huyu
Nakuachaje wakati nimeambiwa wee ni wife materialUmeanza mabalaa yako.hebu niwache mimi
mwambie huyo aliyekwambia akwambie vizuriNakuachaje wakati nimeambiwa wee ni wife material
Dah so wee sio wife material😭😭😭😭Heee
mwambie huyo aliyekwambia akwambie vizuri
Muhudumu wa hotel pia alishafanya baadhi ya hayo maeneo mapokeziKuna tofauti Kati ya guest house,bar,lodge na hotel.yeye anafanya kazi wapi.
Tuachane na hilo mkuu..wewe unaoa kazi Yake au unamuoa huyo bidada?
Ukitaka kufanya jambo lako mkuu wewe fanya tu maana ukitegemea mawazo ya watanzani unaweza kujikuta umeshakufa huku umesimama.hatujawahi kuwa ni watu wa kupongeza mtu a apo fanya jambo zuri (ingawa si wote lakini wengi wetu tunakuwa na roho ya kukatisha tamaa)
Unampenda?umeridhishwa nae?mkuu weka chombo ndani acha mambo ya ajabu
Watz wengi wanaonaga mtu anaefanya kazi ya hotel ni Malaya.ok huo ndio uelewa wao juu ya hoteliers so huwezi kuwabadilisha.Muhudumu wa hotel pia alishafanya baadhi ya hayo maeneo mapokezi
Wewe unausomaje mwandiko wangu mzbzbDah so wee sio wife material😭😭😭😭
Mie najua kabisa wee ni wife material yaani ukiwekwa ndani unatulia tuli ...unajishughulisha kwenye kutoa mauno ya kuvunja chaga tuuWewe unausomaje mwandiko wangu mzbzb
Aise Bwana wa Majeshi anene nawe huko kichwaniMie najua kabisa wee ni wife material yaani ukiwekwa ndani unatulia tuli ...unajishughulisha kwenye kutoa mauno ya kuvunja chaga tuu
Amenena nami na kusema huyo Chakorii ndio mke mwema nilie kuandaliaAise Bwana wa Majeshi anene nawe huko kichwani
Njoo tuombe woteRudi kwenye maombi
Omba mwenyeweNjoo tuombe wote
Kweli warembo wa jf hamtaki mbususu zenu zipelekewe motoOmba mwenyewe
Ila we jamaa comment zako humu hunifurahisha sn ...uwe unaweka na kile kibwagizo cha hayati marehem😂😂😂
Ndugu Zangu Oeni, Miruzi Mingi Humpoteza Mbwa
Kwani anayefanya kazi bar Ile siyo ofisi?We oa tu kugongewa kupo tu kama mwanamke ajitambui maana ata wanaofanya kaz maofisin wanaliwa na wafanyakaz wenzao, ma-ex, waliokuwa college mate, nk pia.