Mbwa dume
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 5,934
- 10,206
Hizo pisi nyingi za lodge ni mizigo ya maboss wenye hizo lodgeKuna kipindi fulani nilienda Kahama kwa shughuli za kimiangaiko; kutokana na kuwa na marafiki wengi, nikaomba si vibaya kuomba 'appointment' na mwenyeji wangu mmoja anayeishi katika mji huo.
Kuna kipindi nilisafiri kutoka hapa Dom kwenda sehemu moja huko kupita kahama panaitwa nyarugusu nikafikia lodge moja ambayo kwa hapo kijiiini ni moja ya lodge kali sana sio siri yule mdada wa counter ya vyumba alikuwa bonge la pisi toto limepanda hewani jeupe halafu lina uno kama lote[emoji39]
Japo nilikaa hapo kama week sikufanikiwa kulitafuna maana inasemekana usiku saa tano boss alikuwa anakuja anapaki ndinga yake na kulala chumba cha huyo demu