Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,865
- 4,506
MweKila nafsi itaonja umauti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MweKila nafsi itaonja umauti.
Milele amina.Anasema ,nyerere kwanini ulijiuzulu na kutuchagulia mtu ,ona Sasa umeme wa mgao sikuhizi hauishi ,ccm ya Sasa dhaifu
Gadna ,drLemi ongala na bibi yetu huyu wapumzike kwa amani
Bi Ubwa wetu jamani😭Daa nitamiss sana
Jamani😭Aliyekuwa Muigizaji wa tamthilia ya Zahanati ya kijiji Bi Ubwa amefariki leo tarehe 20/4/2024.
Hakika sisi ni wa Mungu na kwake tutarejea.
=======
Msanii wa maigizo nchini aliyefanya vizuri katika tamthilia ya "ZAHANATI YA KIJIJI" wengi walimfahamu kwa jina la BI UBWA amefariki dunia leo, Chanzo cha kifo chake bado hakijajulikana.
Endelea kuwa karibu na Tanzaniaweb kwa Taarifa zaidi
Mwigizaji mkongwe nchini Tanzania aliyepata umaarufu zaidi kupitia Tamthiliya Zahanati ya Kijiji, Bi Ubwa amefariki dunia.
Kwa mujibu wa mtayarishaji wa Tamthiliya ya Zahanati ya Kijiji, Abdul Usanga, Bi Ubwa amefariki dunia Aprili 20, 2024.