Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Juu ya 70 ni MATESO70s si miaka mingi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juu ya 70 ni MATESO70s si miaka mingi mkuu
Hauwezi kulinganisha na maisha ya kweyu huku m, tazama watu wengi wanaishia 55/60 tena hawa wakistaafu ni fasta sana.70s si miaka mingi mkuu
Apumzike kwa amani 🙏🏽Dillon in the movie predator.
View attachment 2892690
Mungu anisaidie mi naamini nitafika 100s years oldHauwezi kulinganisha na maisha ya kweyu huku m, tazama watu wengi wanaishia 55/60 tena hawa wakistaafu ni fasta sana.
Hapana,inafuatana na umejitunzaje mkuuJuu ya 70 ni MATESO
Bahat’i mbayaNi midogo ehh??, Kuna watu wame ondoka Wana 5,10,20;!!
Hata bongo mbona watu wanaishi tu. Steve Nyerere ana miaka 70 na bado anaigizaJuzi nilikuwa napitia page ya predator fb nikawa najiuliza kuhusu wenzetu kuishi miaka mingi akiwemo huyu.
R.I.P legend.
Kwenye hii picha ndiyo nimemkumbuka uzuri...Dillon in the movie predator.
View attachment 2892690
Mwamba ametangulia. Ila hamna noma, nasi tuko njiani.Carl Weathers, ambaye shughuli zake za utafutaji wa ugali zili anzia kwenye mchezo wa nfl Hadi uigizaji.
Ana kumbukwa kutokana na uigizaji wake nzuri, kwenye filamu kama Creed, na Predator.
Taarifa kutoka kwa familia ina sema ni hali ya kawaida na si tatizo jingine.
Rest well legend!
View attachment 2892688
Mbona amefariki akiwa mdogo hiviAme fariki akiwa na miaka 76.
View attachment 2892691
ametangulia kamuacha mkubwa wake rambo.Mbona amefariki akiwa mdogo hivi
Mkuu 76 ni midogo??, Tupac ali enda na ngapi??, Juice world!?.Mbona amefariki akiwa mdogo hivi
Yap, safari ni yetu sote.Mwamba ametangulia. Ila hamna noma, nasi tuko njiani.
Nakumbuka sana ile scene ya kukatika mkono kwenye Predator movie .
Acha uoga mzee, face the death as a champ- not a coward.Kwenye hii picha ndiyo nimemkumbuka uzuri...
Naona Wazee wenzangu wanaondoka tu😭😭
Rest well Champ 🙏🙏
Afu we mzee si ndo kwanza una 50, Usha Anza kujiita legend😄🤒Kwenye hii picha ndiyo nimemkumbuka uzuri...
Naona Wazee wenzangu wanaondoka tu😭😭
Rest well Champ 🙏🙏
Niko kwenye my 78th huko 😜Afu we mzee si ndo kwanza una 50, Usha Anza kujiita legend😄🤒
Yeah ni kweliAcha uoga mzee, face the death as a champ- not a coward.
Shida ni uoga was Hawa tunao waacha🙏
Kwa 76 ni mtu ambaye kashafanya mengi sana, siamini bado anadaiwa chochote na jamii .Mbona amefariki akiwa mdogo hivi
Zee una fix😄, akati una wajua Hadi madem wa konde boy😄Niko kwenye my 78th huko 😜
Useme macho bado yanaona fresh
Uko sahihi kakKwa 76 ni mtu ambaye kashafanya mengi sana, siamini bado anadaiwa chochote na jamii .