TANZIA Muigizaji Carl Weathers afariki Dunia

TANZIA Muigizaji Carl Weathers afariki Dunia

Juzi nilikuwa napitia page ya predator fb nikawa najiuliza kuhusu wenzetu kuishi miaka mingi akiwemo huyu.

R.I.P legend.
Hata bongo mbona watu wanaishi tu. Steve Nyerere ana miaka 70 na bado anaigiza
 
Carl Weathers, ambaye shughuli zake za utafutaji wa ugali zili anzia kwenye mchezo wa nfl Hadi uigizaji.

Ana kumbukwa kutokana na uigizaji wake nzuri, kwenye filamu kama Creed, na Predator.

Taarifa kutoka kwa familia ina sema ni hali ya kawaida na si tatizo jingine.

Rest well legend!

View attachment 2892688
Mwamba ametangulia. Ila hamna noma, nasi tuko njiani.

Nakumbuka sana ile scene ya kukatika mkono kwenye Predator movie .
 
Back
Top Bottom