Juu ya 70 ni MATESO70s si miaka mingi mkuu
Hauwezi kulinganisha na maisha ya kweyu huku m, tazama watu wengi wanaishia 55/60 tena hawa wakistaafu ni fasta sana.70s si miaka mingi mkuu
Apumzike kwa amani ๐๐ฝDillon in the movie predator.
View attachment 2892690
Mungu anisaidie mi naamini nitafika 100s years oldHauwezi kulinganisha na maisha ya kweyu huku m, tazama watu wengi wanaishia 55/60 tena hawa wakistaafu ni fasta sana.
Hapana,inafuatana na umejitunzaje mkuuJuu ya 70 ni MATESO
Bahatโi mbayaNi midogo ehh??, Kuna watu wame ondoka Wana 5,10,20;!!
Hata bongo mbona watu wanaishi tu. Steve Nyerere ana miaka 70 na bado anaigizaJuzi nilikuwa napitia page ya predator fb nikawa najiuliza kuhusu wenzetu kuishi miaka mingi akiwemo huyu.
R.I.P legend.
Kwenye hii picha ndiyo nimemkumbuka uzuri...Dillon in the movie predator.
View attachment 2892690
Mwamba ametangulia. Ila hamna noma, nasi tuko njiani.Carl Weathers, ambaye shughuli zake za utafutaji wa ugali zili anzia kwenye mchezo wa nfl Hadi uigizaji.
Ana kumbukwa kutokana na uigizaji wake nzuri, kwenye filamu kama Creed, na Predator.
Taarifa kutoka kwa familia ina sema ni hali ya kawaida na si tatizo jingine.
Rest well legend!
View attachment 2892688
Mbona amefariki akiwa mdogo hiviAme fariki akiwa na miaka 76.
View attachment 2892691
ametangulia kamuacha mkubwa wake rambo.Mbona amefariki akiwa mdogo hivi
Mkuu 76 ni midogo??, Tupac ali enda na ngapi??, Juice world!?.Mbona amefariki akiwa mdogo hivi
Yap, safari ni yetu sote.Mwamba ametangulia. Ila hamna noma, nasi tuko njiani.
Nakumbuka sana ile scene ya kukatika mkono kwenye Predator movie .
Acha uoga mzee, face the death as a champ- not a coward.Kwenye hii picha ndiyo nimemkumbuka uzuri...
Naona Wazee wenzangu wanaondoka tu๐ญ๐ญ
Rest well Champ ๐๐
Afu we mzee si ndo kwanza una 50, Usha Anza kujiita legend๐๐คKwenye hii picha ndiyo nimemkumbuka uzuri...
Naona Wazee wenzangu wanaondoka tu๐ญ๐ญ
Rest well Champ ๐๐
Niko kwenye my 78th huko ๐Afu we mzee si ndo kwanza una 50, Usha Anza kujiita legend๐๐ค
Yeah ni kweliAcha uoga mzee, face the death as a champ- not a coward.
Shida ni uoga was Hawa tunao waacha๐
Kwa 76 ni mtu ambaye kashafanya mengi sana, siamini bado anadaiwa chochote na jamii .Mbona amefariki akiwa mdogo hivi
Zee una fix๐, akati una wajua Hadi madem wa konde boy๐Niko kwenye my 78th huko ๐
Useme macho bado yanaona fresh
Uko sahihi kakKwa 76 ni mtu ambaye kashafanya mengi sana, siamini bado anadaiwa chochote na jamii .