Muigizaji Lulu Atimua Mbio Mahakamani | Baba Yake Ageuzwa Mlinzi

Alikuwa anakwepa/kukimbia waandishi wa habari asipigwe picha wala kuhojiwa...

Cc: mahondaw
 
Reactions: Pep
Mb zangu zimeisha kidwanzi sana leo....... Hii kesi ni kupoteza mda wa watu sijui ni kwanini hadi mda huu haijafutwa keendelea na kesi nyingine za muhimu
 
Mb zangu zimeisha kidwanzi sana leo....... Hii kesi ni kupoteza mda wa watu sijui ni kwanini hadi mda huu haijafutwa keendelea na kesi nyingine za muhimu
Kwanini unahisi hii kesi siyo muhimu? Maisha ya mtu yamepotea hapa na hatuwezi kumuhukumu mtu bila kuwa na hatia? The wrath of law will always go to the guilty Parties and not the innocent partes.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…