Umenielewaje kwani?
Ni mfano tu usipanic saaana! Laweza kuwa ni fumbo jaribu kufumbua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenielewaje kwani?
Sio kawaida yangu kupanic.Ni mfano tu usipanic saaana! Laweza kuwa ni fumbo jaribu kufumbua
Nachomaanisha watu huuchukia au kuuchukulia vibaya uislamu tofauti na uislamu wenye ulivyo.Kwa sababu wenye kukufuru wanauogopa ukweli.
Wale wasiopenda kukufuru wanausoma Uislam na wanaingia makundi kwa makundi kama uonavyo.
Vipi wewe?
Hii imani inapenda sana kiki hili nalo lakuanzisha uzi
Kwanini unashangaa?Hata mimi nashangaa.
Kwanini unashangaa?
Kwa sababu ni dini ya WAUAJIHivi kwanini dini ya uislamu inachukuliwa tofauti sana na dini zengine,yani watu hata ile kutaka kujua tu kuna nini kwenye mafundisho ya uislamu hawataki ni tofauti na ukristo ambao hata wasioamini mungu utakuta wanajua biblia vizuri tu.
Kwa mitazamo ya watu juu ya uislamu kama huo wako, ndiyo maana inapotokea mtu maarufu kama huyo kuingia kwenye uislamu inakuwa ni jambo kubwa.Kwa sababu ni dini ya WAUAJI
Mafundisho ya dini ya kiislam yanasema muislam ndugu yake ni muislam mwenzieAcha uongo, haja hama kwenye hinduism na hana huo mpango
Halafu ndugu zako ni sisi weusi wenzako hata kama tukiwa wakristo au waislam.
Aaa kumbe kwa ajili ya love me nilizani binafsi mbona wakiachana atarudi tu so msimuhesabie muhindi wa watu wala hayuko huko.Hhahaahaha.
Namshukuru Mungu sana kuwa mkristo sana sana.Sijaona dini inaniambia mpende huyu sio huyu.Hiyo ni dini na sio Mungu Dah!!!!Ndugu zangu dini itabaki kua utambulisho tu mwisho wa siku ni wewe na Mungu na uliyoyatenda kama ni ya Mungu au la sio dini gani maana Mungu ni wa wote achen ubinafsi maandazi eti dini ya haki mngechinjana ?Za kuambiwa changanya na za kwako kha una macho hata huoni?Mafundisho ya dini ya kiislam yanasema muislam ndugu yake ni muislam mwenzie
Kama kiki alishaipata zamanisanaAnatafuta kick