Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
Nimeionaa pahala ...utanitag ukipata jibuNaomba ufafanuzi ile tuzo kuwekwa picha ya JPM
HahahahH h ahah sasa hiyo ni tuzo au mkebe
Mention the participants then..[/QUOTE
Thank you Hornet. I rest my case.
Una mawazo kama yangu.. nmeshangaa sanaAu hyo kampuni ilotoa tuzo ni ya kwao ila inafanya kazi huko ghana??
"Lupita" umemshau Mkuu. Wote hao kapiga chini.!!!Hivi hiyo category "best female movie star Africa" ina maana kawashinda kina Omotola,Mery Johnson,Genevieve????
Hiyo tuzo uchwara aisee
Africa nzima Mkuu ni vichochoroni??. Nyeusi tuseme ni nyeusi na nyeupe ibaki nyeupe, ni maoni yangu lakiniTuzo za uchochoroni
Ndo akina Lupita hao kapambana nao...believe or not MkuuNo you gotta be kidding!!! Hao ni super Stars si Afrika tu hata America wanakimbiza..!!!
Lupita pia ongeza hapoToto Dike
Jack Appiah
Omotola Jalade
Mercy Johnson
Patience Ozokwor
Ngozi Ezewonu
Stella Damasius
Chioma Chukwuka Akipom
etc
May be, Tanzanians in Ghana awards
PointiHongera zake, hakika anastahili pongezi kwa kuipeperusha vyema bendera yetu.
Ajabu ni kwamba kuna watu hapa wanambeza, ila angekuwa amefanya jambo la aibu huu uzi ungekuwa mbali sasa hivi.
Jamani watanzania wenzangu tujifunze kutiana moyo, kufarijiana na kupongezana kwa mafanikio tunayoyapata hata kama ni madogo kiasi gani.
Pointi tena haina "less" mbeleHongera zake, hakika anastahili pongezi kwa kuipeperusha vyema bendera yetu.
Ajabu ni kwamba kuna watu hapa wanambeza, ila angekuwa amefanya jambo la aibu huu uzi ungekuwa mbali sasa hivi.
Jamani watanzania wenzangu tujifunze kutiana moyo, kufarijiana na kupongezana kwa mafanikio tunayoyapata hata kama ni madogo kiasi gani.
Lupita tunaweza kusema yupo marekani labda vigezo vilivyotumika waigizaji wa humu Africa tu"Lupita" umemshau Mkuu. Wote hao kapiga chini.!!!
hahahahha we nawe huwaga ni mshenzi daah.. sijui hata nilitaka nicomment kitu ganiHiyo ' Tuzo ' hivyo alivyoilalia hapo Pichani mpaka akiamka na aje nayo Dar es Salaam Tanzania si itakuwa imelowana sana na Maudenda ya usingizi?
Wewe umesikia wameshindanishwa lini na kina nani?Africa nzima Mkuu ni vichochoroni??. Nyeusi tuseme ni nyeusi na nyeupe ibaki nyeupe, ni maoni yangu lakini
haha hahaaaH h ahah sasa hiyo ni tuzo au mkebe
BIG yeeesssMfano ukiangalia tuzo zilizotolewa za sinema zetu zilikuwa zinatangaza kampuni ya azam tu
Hizo tuzo hazina uhalisia wowote