Muigizaji Monalisa ashinda tuzo ya Msanii Bora wa Kike Afrika

Muigizaji Monalisa ashinda tuzo ya Msanii Bora wa Kike Afrika

pengine shemeji zao ndio waandaaji thats why wanashina, kimsingi sijaona sababu haswabya wao kushinda

Na pengine mamlaka hisika zituambie nani muandaaji wa tuzo hizi isijekua ni ule mchezo wa kutanua goli ili ufunge kirahisi
 
Nikijiuliza mara ya mwisho kumuona ray kigosi kwenye movie hata sipati picha..

Wala hata sijui lini labda mm sio mfuatiliaji wa bongo movies..

Nasikia ray kigosi ni male best actor kwa Africa
Monalisa nae ni BEST ACTRESS..

Nmejiuliza sana hizo tuzo anatoa nan huko Ghana..!!??

Naomben mwongozo wadau nisijekuitwa mchochezi bure.. ila kiukweli namuonaga ray kigos yupo busy na mwanae kwenye mitandao na sio movies..

Kuhusu monalisa mmhhhh hapana sijawahi kuona movies anazo act m not really sure..

All in all... congraturations for u two. Tanzania tuko proud View attachment 745153
Lugha bado ni tatizo
 
Kuna baadhi ya watu wanapata umaarufu kimataifa kwa opepo wa Maraisi wetu Nyerere na Hapo kazi tuu. Watu wa nje wakijua umetoka taifa la hao watu basi unapata kura. Sijui kama kuna film yoyote ya huyu dada inaweza kuwashinda magwiji wa Nigeria. Huyu dada alikuwa anaigiza kitambio kidogo akiwa na mama yake kwenye vipindi vya mwanzao kabisa ITV ilivyoanza sijui ni mambo hayo sikumbuki ilishakuwa kitambo sana ila baada ya hapo sijui kama badoo ni msanii ndio namsikia leo amepata tuzo.
 
Au hyo kampuni ilotoa tuzo ni ya kwao ila inafanya kazi huko ghana??
 
Us
Best Female Movie Star Africa - Yvonne Cherry (Monalisa)

Muigizaji maarufu wa filamu nchini Tanzania, Yvonne Cherry maarufu kama Monalisa ameshinda tuzo ya African Prestigious Awards kipengele cha Msanii Bora wa Kike barani Afrika

Tuzo hizo zimefanyika usiku wa kuamkia leo katika mji wa Accra huko nchini Ghana
View attachment 745061
Usitegemee bongo muvi wenzake kumpongeza wale watu wana wivu sana wakiongozwa na kile kijamaa kilevi levi kiathirika...
 
Hongera sana kwake, kwa upande wa muigizaji bora wa kiume barani Afrika kwa mwaka 2017 ameshinda Ray huku kipengele cha mpiga picha bora barani Afrika(2017) ameshinda mtanzania Moise Hussein. Mzee Majuto pia alishiriki ila hakubahatika kupata tuzo.

Tuzo hizo zilizinduliwa mwaka jana mwezi wa tisa nchini Ghana ambapo kulikua na zoezi la upigaji kura. Hivyo kushinda kwao ni kutokana na kura.
Lakini hamjatuambia walishindanishwa na watu gani hasa?! Ina maana Kina Majjid na wenzake wa Ghana wameshindwa na Ray?!!!!
 
Hongera Mona
Kujiheshimu kwake kumempa tuzo
Mnaojidanganya mnacheza movie kama za Hollywood heshima zero
Mona Lisa anacheza uhalisia wa maisha ya MTz
 
Tuzo hz nazo. N tuzo
Hapo makampuny ndo
Yanafaidika tu
 
Toto Dike
Jack Appiah
Omotola Jalade
Mercy Johnson
Patience Ozokwor
Ngozi Ezewonu
Stella Damasius
Chioma Chukwuka Akipom
etc
May be, Tanzanians in Ghana awards
 
Toto Dike
Jack Appiah
Omotola Jalade
Mercy Johnson
Patience Ozokwor
Ngozi Ezewonu
Stella Damasius
Chioma Chukwuka Akipom
etc
May be, Tanzanians in Ghana awards
Patience huyu mama ni noma sana sijui kwa nn mpaka sasa hajaenda USA
 
Hongera Mona
Kujiheshimu kwake kumempa tuzo
Mnaojidanganya mnacheza movie kama za Hollywood heshima zero
Mona Lisa anacheza uhalisia wa maisha ya MTz
Hongera zake, hakika anastahili pongezi kwa kuipeperusha vyema bendera yetu.

Ajabu ni kwamba kuna watu hapa wanambeza, ila angekuwa amefanya jambo la aibu huu uzi ungekuwa mbali sasa hivi.

Jamani watanzania wenzangu tujifunze kutiana moyo, kufarijiana na kupongezana kwa mafanikio tunayoyapata hata kama ni madogo kiasi gani.
 
Back
Top Bottom