Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
She is also my fav actress. Nilimpenda alivyo act katika Lost kama Analucia
Niambie we professional yako ni ipiBila shaka tafsiri ni kwa msaada wa google ama facebook...kuna sehemu kama simpati pati mwandishi. Ni kama audio clip moja ya jamaa anaongea vitu visivyoendana...
[emoji3][emoji3] kwani wazungu wameshindwa kuwarekebisha?Hata mimi hapo nikifika kwa wazungu na tabia zao nachoka mwanamke mzuri kama huyu eti ni lesbian dah angekuwa karibu yangu ulesbian ungeisha mapema angebadilisha stori ya maisha yake
Mwingine yupi?Halafu mara nyingi lesbians wanakuaga madem wakali.
Sasa mim kila dem celebrity nnaemkubali anakua lesbian.
Mkuu ulitumia mfumo gani ?haka kadada nilikaombaga mechi kakanitosa
Ndio mkuu angalia kwanza life style zao kama za wanaume wa dar vile halafu ukizingatia alizaliwa kwenye mazingira ya jeshini na kulelewa na mama ake akiwa wa kipekee inaonekana malesbian huwa kuna kitu huku nyuma kime waathili wae hivyo[emoji3][emoji3] kwani wazungu wameshindwa kuwarekebisha?
Wapo wengi ila hawa ni baadhi yao hawa ni actressesMwingine yupi?
She is too masculine...lazima atakua na demu tuNilikua nampenda sana huyu dada niliposikia ni lesbo nilikosa amani kwakweli...ila sikuacha kumpenda
Wapo wengi ila hawa ni baadhi yao hawa ni actresses
Huyu hapa Ruby Rose huyo wa pili Cara DelevingneView attachment 1171903View attachment 1171904
Vip mkuu na wew iris za blue zinakuchanganya 😂😂😂😂😂😂Yuko poa ila jicho hilo
Mwanzoni zilikuwa zinanikogopesha maana kuna binadamu na reptile ni kuwa makini maana unaweza kuta wengine usiku wana waka sanaVip mkuu na wew iris za blue zinakuchanganya 😂😂😂😂😂😂
Lazima ziogopeshe mkuu maana mtaani hyo kitu huwa very rare ila kwa kawaida mtoto wa kike inamuongezea mvuto flani amazing.Mwanzoni zilikuwa zinanikogopesha maana kuna binadamu na reptile ni kuwa makini maana unaweza kuta wengine usiku wana waka sana
Daah Ruby Rose namkubali Sana ila ndo kajike dume tena🤢 🤮🤮🤮Wapo wengi ila hawa ni baadhi yao hawa ni actresses
Huyu hapa Ruby Rose huyo wa pili Cara DelevingneView attachment 1171903View attachment 1171904
Kuwa makini mkuu sababu ni kajike dume alafu kana mwili wa mazoez😎😎😎😎Una namba yake mkuu ?
Ndio hata mimi kananishangaza licha ya umri mkubwaTony-st87485 said:Huyu nilimuona kwenye fast and furious
Daah kana mwili mzuri kweri
Alafu ni mrembo kumbe kanatamani kuwa mwanaume🤬🤬🤬🤬😡😡😡😠😠