Muigizaji Rammygalis

Muigizaji Rammygalis

Hahahahahaha ni kweli
Mm pia nawaonaga wakaka flan hv amazing
Wakishua hahaha halafu wakivaa zile pensi zao aaaaa
Haha halafu The Boss anasema wacheza draft nawenyew wanaswagg[emoji28][emoji28]
Na jinsi wanavyocheza sasa kwa madoido
 
Unafaa kwa mAtumiz ya binadamu

Btn much miss u my wifi
Nimekumiss jamaniii ,,kim nana hata sijui yupo wapi jamani ,lakin karibu my dia[emoji8][emoji8][emoji8]
 
Of course mie kila baada ya kazi unanikuta uwanjani!Mabibo hostel pale weekend ndii balaa Saturday hii ukuje
Oooh umejaa jaa lakini ?maana siwezi kuja kuangalia kimbaumbau uwanjani mie
 
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji3][emoji16] jamani anajaa ng'ombe!mie Niko wastani bandugu
Yaan kuna umbile flan hiv la mazoezi mikono imejikata kias ,kwaajili ya mazoezi ka kifua kakuvalia tisheti kapoo?
 
Nimekumiss jamaniii ,,kim nana hata sijui yupo wapi jamani ,lakin karibu my dia[emoji8][emoji8][emoji8]
Asante my wiii huenda wameenda dodoma na msafara WA wakuuu ....msafara WA mamba kumbuka kenge lazima awepo kunogesha
 
Asante my wiii huenda wameenda dodoma na msafara WA wakuuu ....msafara WA mamba kumbuka kenge lazima awepo kunogesha
Yaan siku ming aisee nahisi rammy kakuleta nini ,basi ntakua nakuletea mahndsome tu ili uonekane
 
Umkute anaenda uwanjani, kuna style yao fulani hivi ya wanabebaga mipira [emoji85] [emoji85] , mmh jamani nashukuru nimezeeka salama teh

Wacheza draft swagga za kahawa na kashata
sisi wacheza draft pia ni watu
mtukumbuke tunavyosukuma kete
 
Back
Top Bottom