Muigizaji Rammygalis

Muigizaji Rammygalis

ni handsome.....mguu wa kuvalia bukta upo.

wakati niko arusha...jioni naenda chuo cha uhasibu nakutana na wacheza basket........dah kuna mmoja alikuwa handsome huyo.....Mungu ananiona nilivyoshindwa kumvumilia.
 
ni handsome.....mguu wa kuvalia bukta upo.

wakati niko arusha...jioni naenda chuo cha uhasibu nakutana na wacheza basket........dah kuna mmoja alikuwa handsome huyo.....Mungu ananiona nilivyoshindwa kumvumilia.
Eheeee ikawajee jamanii
 
Tuchukueni wacheza kamari chafu tatu, we unataka mtu ambaye mnafanana nae bn hata hajulikani nani mwanaume nani mwanamke
 
Mi napenda huu mchezo wa basket hua unaniua kabisa
Hebu cheki hapo alivyoushika huo mpira sijui anataka kurusha 3 point au!!!jionee mwenyewe View attachment 401267View attachment 401269View attachment 401270 masogange naona kaachia huu mzigo sijui nani anaumiliki sasa eti geniveros shunie warumi
Why you take off my heart? Sio siri you let me down wewe upo moyoni mwangu since way back lakini leo mwenzangu unamuwaza huyo sharobaro wala hana lolote hato kusaidia chochote
 
Why you take off my heart? Sio siri you let me down wewe upo moyoni mwangu since way back lakini leo mwenzangu unamuwaza huyo sharobaro wala hana lolote hato kusaidia chochote
Asa mbona hujawah niambia?halaf mimi kuna sehemu nimesema nampenda ramy?
 
Back
Top Bottom