Uko sahihi kabisaa!wahindi kwa sasa hawana movie mtu ambae anajitahidi kidogo kwa sasa kidogo Ni Salmaan Khan na Hrithik Roshan
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwepo Vinod Khanna amekufa Mwanawe anaitwa Akshay Khanna hajui kama baba yake lakini!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
RiP legend
Ila Bollywood huwa inanifikirisha sana
Ukiwa na haya majina mawili
Kapoor
Khan
Ni rahisi kutusua kule
Mengine ni
Shetty
Kumar
Bachanan
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mimi wahindi bwana ndo starehe yangu kwa sasa kwenye movie wazungu niliwagaya hawana maadili unaangalia movie Mara paap wanakulana ghafla
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena wabinafsi mnoo wahindi yaani akina Deepika,Anushka,Priyanka na Kangna wametumika mnoo mpk wamefikia kutusua...!!!kuna siku Kangna Renault aliwahi mchamba Karan Johar kwenye Kipindi cha Koffee with Karan ,alimuuliza anaongeleaje kuhusu nepotism, akajibu,"wewe Karan ndo bingwa wa nepotism "ilikua tafrani haswaaa,..Mkuu wahindi maisha yao hayana tofauti na WAAFRICA,, humo Bollywood wamejazana madarictors WAHUNI KWA NGONO,,na wenye majina makubwa,,,hupati nafasi ya kucheza movie kama HUTAKI KUGEGEDWA,,au uwe na JAMAA ZAKO HUMO NDNI..mfano hao akina KAPOOR,, KHAN,,SHETTY,,BACHACHAN,, baba zao au uncle zao ni nguli wa Bollywood... Ndy maana wanapenya kirahisi,,,wengine ukubali KULIWA...na wanawala kweli watoto wazuri na nafasi bado hawapati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha...Mimi wazungu nilikua nawaangalia kina Hale Berry na Julia Robert,China na wakorea bado kidogo naangaluaWazungu hawachelewi kulana kimasihara[emoji13][emoji23][emoji1787]
Lakini inategemea movie unatizama na nani, mie huwa sijachuguiiwe ya kihindi,kichina,kikorea,kijapan, wathailand, wasiwe bongo movie tu, ili mradi iwe iwe ya action,comedy hata animation ila haya mastori tupu mwanzo mwisho si mpenzi.
Kama huna ndugu au sio Miss au hautoki notable family hutoboii!!RiP legend
Ila Bollywood huwa inanifikirisha sana
Ukiwa na haya majina mawili
Kapoor
Khan
Ni rahisi kutusua kule
Mengine ni
Shetty
Kumar
Bachanan
Sent using Jamii Forums mobile app
Vinod khana hakuwa ADUI,,alikuwa ni star...walikuwapo VINOD KHANA,,NA FEROZ KHANA ni ndugu kabisa,,...kuna picha moja ya mwaka 1987 inaitwa. JAN BAAZ..FEROZ KHANA,,NA ANIL KAPOOR,,,huku wakimshirikisha MREMBO DIMPLE KAPADIA...FEROZ KHANA alifanya VYEMA sana...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari MKUUTena wabinafsi mnoo wahindi yaani akina Deepika,Anushka,Priyanka na Kangna wametumika mnoo mpk wamefikia kutusua...!!!kuna siku Kangna Renault aliwahi mchamba Karan Johar kwenye Kipindi cha Koffee with Karan ,alimuuliza anaongeleaje kuhusu nepotism, akajibu,"wewe Karan ndo bingwa wa nepotism "ilikua tafrani haswaaa,..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo sawa MKUUNamaanisha sio mkali wa kuigiza kama baba yake Vinod huyo mwanawe anaitwa Akshay Khanna yupo kwenye movie ya Dishoom na Section 375
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha...Mimi wazungu nilikua nawaangalia kina Hale Berry na Julia Robert,China na wakorea bado kidogo naangalua
Sent using Jamii Forums mobile app
Za hovyo mnoo kwa sasa na hata maadili sifuri kabisaLakini pia zile story za mvuto za MAPENZI au action movies hakuna tena...wameiga uzungu mwingi..story hazieleweki
Sent using Jamii Forums mobile app
Wa zamani wa kizungu nawajua kina Rambo,Dolph,n.kMie naleta mfurugo tu, namix wote wote ila siku hizi sitizami saana movie! Masta wa zamani ndio nawafahamu iwe china, india ama usa.
Wa zamani wa kizungu nawajua kina Rambo,Dolph,n.kMie naleta mfurugo tu, namix wote wote ila siku hizi sitizami saana movie! Masta wa zamani ndio nawafahamu iwe china, india ama usa.
Tena wabinafsi mnoo wahindi yaani akina Deepika,Anushka,Priyanka na Kangna wametumika mnoo mpk wamefikia kutusua...!!!kuna siku Kangna Renault aliwahi mchamba Karan Johar kwenye Kipindi cha Koffee with Karan ,alimuuliza anaongeleaje kuhusu nepotism, akajibu,"wewe Karan ndo bingwa wa nepotism "ilikua tafrani haswaaa,..
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu uzi haunifai