alafu mungu fundi sana nshawah opoa dem kwa kuimba wimbo wa kihindi, koi mere dilda haal najane raba, ila mtu ninaye mkubali ajey devgan hasa ile movie aliuwa mtu akaenda mfukia kituo cha polisi mwisho polisi walipata ushahid wa mtu kuuwawa ila hawajui wap kazikwa
Naomba nisaidiwe jamani nimeiangalia movie ya tarvaar zaidi ya mara tatu bado sijajua yule binti na kijana waliuliwa na nani hasa
dos.2020 yah mkuu, huyu dogo hawezi mfikia baba yake, mzee Rishi...
Mkuu tafuta NAGINA,, na SAAGAR KINARE..hutojuta...kuanzia songs hadi story... RISH was the best...huyo mtoto hamkuti baba yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ranbir ni noma anajua dogo!hakoseagi yaani Katafute Ae Dil Mushkil!nooomaaa
Tunasikitika kuondokewa na moja ya kipaji adhimu pande za Bollywood.sijafanikiwa kuangalia filamu zake nyingi sana ukiwa main actor .ila nimecheki kadhaa akiwa supporting actor kama fanaa..Bollywood imeondekewa na vipaji viwili ndani ya siku mbili.irfan khan na na Rish kapoor.ila a good thing kwa huyu Mzee katuachia kijana ambaye ni nyoko kuliko hata yeye..Ranbir kapoor.kamcheki kwenye sanju
Ile nafasi ya Ajay Devgan,Akshay,Salman au Sanjay Dutt!lile lipo lipo tuKi ukweli hata mimi Abhishek namuona kama jina la ukoo ndilo linalombeba zaidi na sio umahiri wake mwenyewe.
Kwenye mfululizo wa movie za DHOOM ile nafasi alioigiza alipwaya vibaya sana naamini ile nafasi laiti ingelipata muigizaji mahiri angefunika sana.
Lakini msela alifunikwa kote kote,kule kwa Aamir Khan na kule kwa Rhitik Roshan.
Jamaa ni muigizaji wa kawaida sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3]wakati mtoto wa Boney Arjun juzi tu hapa tayari anaigiza,Varun Dhawan dogo wa juzi anapewa major role,akina Ranvir Singh daahhh!!!Bollywood Nyoso sana!Irfan ilimchukua miaka 15 mpaka kupata proper role
Nawaz ilimchukua miaka 14 mpaka alipopata proper role ya film
Na kale katoto ka Sunil Shetty ,Athiya Shetty hakajui wala nini!huyo Suraj Pancholi ni ovyo kabisa
Hahahahah!alafu mungu fundi sana nshawah opoa dem kwa kuimba wimbo wa kihindi, koi mere dilda haal najane raba, ila mtu ninaye mkubali ajey devgan hasa ile movie aliuwa mtu akaenda mfukia kituo cha polisi mwisho polisi walipata ushahid wa mtu kuuwawa ila hawajui wap kazikwa
Mastaa wa Bollywood sasa wanapata jina kupitia umaarufu wa wazazi wao(real talent those days), ila sasa ukiwaangalia sio kivile, wengine ndio unaona kabisa hapa hamna kitu...!!![emoji3][emoji3][emoji3]wakati mtoto wa Boney Arjun juzi tu hapa tayari anaigiza,Varun Dhawan dogo wa juzi anapewa major role,akina Ranvir Singh daahhh!!!Bollywood Nyoso sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmoja alikuwa anaitwa Vinod Khanna(marehemu), ndiyo baba wa Akshaye Khanna.Haswa mkuu,,,picha ya kihindi zamani MASAA 3..lazima star aanzie mdogo...Bonge la movie kama AMAR AKBAR ANTONY...amita bachan,,,rish KAPOOR na mmoja nimesahau....wanazaliwa halafu wanapoteana wakiwa WADOGO,,kila mtu analelewa kivyake..baadae wanazinguana kumbe ndugu..wanakumbukana....hayo masongi ni NYOKO..na hizo HARAMSADEE...ndy komesha
Sent using Jamii Forums mobile app
mwandende inaitwa Deewaar(Ukuta) ya 1975. Hiyo aliigiza na Shashi Kapoor ambaye alikuwa ni mjomba wa Rishi Kapoor upande wa baba.Story nzr sana ,,na IPO picha moja ya amitabach na RISH KAPOOR,, baba yao alikuwa na Mali lakini baba yao mdogo anawazulumu baada ya baba yao kuuawa wakiwa WADOGO,,wananyanyasika sn hadi AMITAH anajiunga kwny kundi la baba yake mdogo bila kujuwa ni baba yake mdogo na ndy aliyemuua baba yao na. ndy aliyowafanya wakawa masikini,,AMITAH anachukuwa jukumu LA kulea familia mama na mdogo wake,,,,na kumsomesha RISH KAPOOR,, baadae RISH anajiunga na police,,, anakuwa mnoko sana kwa AMITAH,, mwisho AMITAH anatakiwa kukamatwa na Jeshi la police kwa matukio ya ujambazi na kuuza madawa,,baadae anaasi kundi la baba yake mdogo baada ya kujuwa kwamba ndy aliyemuua baba yao..aisee movie hatari sn,,nimesahau jina niliiona mwaka 1990...HARAMSADEE KIBAO..AMITAH fully RAY BAN.....jicho humwoni....hakika AMITAH kwangu ndy star wa muda wote...
Sent using Jamii Forums mobile app
kashengo kivipi mkuu...Karan Johar anajua ila Sex Orientation yake inakera sana fans wake
Sent using Jamii Forums mobile app
OK..mwandende inaitwa Deewaar(Ukuta) ya 1975. Hiyo aliigiza na Shashi Kapoor ambaye alikuwa ni mjomba wa Rishi Kapoor upande wa baba.
Mmoja alikuwa anaitwa Vinod Khanna(marehemu), ndiyo baba wa Akshaye Khanna.
Ni moja ya filamu zilizompa a.k.a ya "an Angry Young Man" baada ya Zanjeer(1973).OK..
Picha story nzr Sana,, halafu humo AMITAH... Swaga zake sio za mchezo mchezo... Yupo very serious
Sent using Jamii Forums mobile app
shukran mkuuNi moja ya filamu zilizompa a.k.a ya "an Angry Young Man" baada ya Zanjeer(1973).
Wa zamani yule kashasahaulika toka 2005Mzee ashanti mbona akumbukwi apa!
Ahaa sawa