Muigizaji Sophia Kanumba yuko anasoma Form 5 Nchini Australia

Muigizaji Sophia Kanumba yuko anasoma Form 5 Nchini Australia

wasanii wa bongo kusema uongo ndio wanaona usanii..Huyu dada majuzi tu alikuwa anaombaomba hela watu kwenye mitandao
 
Wakuu Habari ya Asubuhi na Poleni na Hekaheka za Ashura Wa Tabata.

Niko Nasikiliza Ufm Radio ya Azam Media, Anahojiwa Msanii Wa Maigizo Anaitwa Sophia Kanumba.

Binti Huyo Anadai aonekani Nchini Kwa Sababu Yuko Nchini Australia anasoma Kidato Cha 5.

Namskia Hapa Hata lafudhi yake imebadilika anaongea kiswahili Cha kizungu na pia anaongea kiswahili Huku anachanganya na kingereza.

Tumtakie Binti Sophia Kanumba masomo mema Huko Australia wakuu [emoji275][emoji275][emoji275][emoji275]
Yuko huko kitambo sana tangu chekechea
 
wasanii wa bongo kusema uongo ndio wanaona usanii..Huyu dada majuzi tu alikuwa anaombaomba hela watu kwenye mitandao
Acha urongo mkuu otherwise unamiksi madesa hapa, huyo mtoto kwao mambo safi, na anaishi Australia kitambo tu, huko kuomba hela kwenye mitandao kamuomba nani
 
Na huyu ana bahati yule paedophile Kanumba kafa. Asingemuacha salama, amuulize yule mwenzake.
Hili la upaedophile wa jamaa huwa haliongelewi. Ingekuwa kwa wenzetu angekuwa, 'Cancelled.'
 
Mnapata wapi muda wa kusikiliza umbea asubuh yote hii
Wengine ni maaskari sugu alishatoka kazini asubuhi anakuwa nyumbani anapunguza usingizi na kutafuta nguvu za usiku tena.
 
wasanii wa bongo kusema uongo ndio wanaona usanii..Huyu dada majuzi tu alikuwa anaombaomba hela watu kwenye mitandao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Back
Top Bottom