kijanamtanashati
JF-Expert Member
- Aug 22, 2014
- 516
- 905
- Thread starter
- #21
ndio wanazaa lakini mara nyingi wanazaa kwa upasuaji kutokana na kimo chaoHivi kimbe watu wa hivi wanazaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio wanazaa lakini mara nyingi wanazaa kwa upasuaji kutokana na kimo chaoHivi kimbe watu wa hivi wanazaa?
hujuzi jua mkuu labda yupo umuShe looks so cute,i wish she was JF member!
sina mkuuMtoa post naomba namba zake
They talk too much [emoji3]Huyu alibeba lini mimba ??au mnaongea tu
Umeipenda eeee aaaarghhhhh people talk too muchThey talk too much [emoji3]
unaishi nae?Huyu alibeba lini mimba ??au mnaongea tu
nani sasa amuogope Mungu? kwa lipi?Muogope Mungu mkuu..Hayo sio maneno ya kuongea kabisa
hakuna kitu kama hiko mkuu, nimeandika hii thread kwa lengo moja kumsifia ila naona baadhi ya wachangiaji hawana busara mfano mchangiaji wa piliMhhh mbona hii thread kama Sarcasm vile ?
arggghhh, unamuuliza nani hili swali lako?Hivi kwani walemavu hawana haki ya kuzaa?