Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilijua tu ntakukuta huku muhindi mwenzangu. I was shocked kwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
hii miaka ya kariibuni kabla kuanza kuugua alikua ndio yupo kwenye peak kabisa.
Hindi Medium
Blackmail
Billu Barber
Maqbool
Karwaan
Hizi filamu kwangu siwezi kuzisahau
Dah hiyo Billu naikubali sana.hii miaka ya kariibuni kabla kuanza kuugua alikua ndio yupo kwenye peak kabisa.
Hindi Medium
Blackmail
Billu Barber
Maqbool
Karwaan
Hizi filamu kwangu siwezi kuzisahau
Alinichekesha sana kwenye Blackmail.hii miaka ya kariibuni kabla kuanza kuugua alikua ndio yupo kwenye peak kabisa.
Hindi Medium
Blackmail
Billu Barber
Maqbool
Karwaan
Hizi filamu kwangu siwezi kuzisahau
hahahahahahha mkuu umenikazia sanaa vipi kwani ?[emoji116][emoji116]hii sio option hiyo ni sentence, Chadema mpo km watu wasio kuwa na uelewa
Hahaha my dear nilishatoka Mumbai nipo Dar. Binti zangu wanakusalimia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah hiyo Billu naikubali sana.
Kuna ile alocheza pamoja na Akshay Kumar,Sunil Shetty na Bob Deol nimeisahau jina nayo imesimama balaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
ile akshay anawachezea na ile firimbi hahaha.inaitwa THANK YOU km sikosei
"Sunday" ilikua comedy nzuri sana
Dah hiyo Billu naikubali sana.
Kuna ile alocheza pamoja na Akshay Kumar,Sunil Shetty na Bob Deol nimeisahau jina nayo imesimama balaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni movie niliyohakikisha ninaiona kwenye theater screen. RIP Ifarrn
Bilu ndio naikubali sana
Ndani ya Billu Barber alizungukwa na vichwa vibovu sana yani kuvunja mbavu tu, aisee safi sana ile movieDah hiyo Billu naikubali sana.
Kuna ile alocheza pamoja na Akshay Kumar,Sunil Shetty na Bob Deol nimeisahau jina nayo imesimama balaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Miongoni mwa wahindi wasio na makuu namkubali sana Irfan Khan kwenye Tevaar ndo alinikosha haswaa na Hindi medium daahh!!acha kabisa mmeshtuka sana Leo na msiba wake yaani is Isingekua lock down Leo Bollywood ilikua inatikisika kama alivokufa Sri Dev...May his Soul Rest In Peace
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka sana katika movie ya Billy baber na movie ya thank you.....achilia mbali ya killer akiwa na imrani hashmi alikuwa anaweza sana
Sent using Jamii Forums mobile app