makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Pastor mkandamizaji HAKANDAMIZI hapa kwa mwanae wa kiroho, Unahitaji roho kuuubwa kuepuka huu msala.Sawa tumemuona. Kwa kuongezea tu ni mke wa mtu pia mtoto wa kiroho wa Pastor.Masanja mkandamizaji
😃Neno linasema tusihukumu tusijehukumiwa.Masanja lazima kababua hii kazi eti mtoto wa kiroho kwa utakatifu upi wa Masanja?
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Hamna lolote tamaa tu imekujaa.Huyu ukimgegeda mbona pepo unaiona hapa hapa duniani
Mmh!Sawa tumemuona. Kwa kuongezea tu ni mke wa mtu pia mtoto wa kiroho wa Pastor.Masanja mkandamizaji
Unaweza Kuta ni pasua kichwa kweli kweliKuna wadada wameumbika jamani yaani huyu ndiyo wakuowa kabisa Kwanza,Dini,pili,Shep ,tatu,sura,nne,kaumbika,tano guu guu kweli mungu fundii
Ukisikia mchungaji ameanguka, jua hiki ndio kisiki kilichomuangusha
HareruyaaaaHaleluyaa...haleluya...haleluya....!!
shida iko wapi?.umbo lake?.
Pia mtoto wa kiroho wa Pastor.Masanja mkandamizaji
Amenitengeza by Martha MwaiPAJA