Muimba wa Gospel Bela Kombo jitafakari, mavazi yako si ya Staha

Muimba wa Gospel Bela Kombo jitafakari, mavazi yako si ya Staha

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Unajua kuimba lakini ni lazima ufahamu kwamba, Mavazi ya kubana nyama hayakubaliki kwa Watumishi wa Mungu, Unataka kumuonyesha nani hayo maungo yako na ili iweje?

Huwezi kuvaa kama Rihanna halafu ukamtukuza Mungu, iko mipaka kati ya watu wa Dunia na wacha Mungu.

Nakukemea, Badilika haraka .

tew.jpg
 
Unajua kuimba lakini ni lazima ufahamu kwamba, Mavazi ya kubana nyama hayakubaliki kwa Watumishi wa Mungu, Unataka kumuonyesha nani hayo maungo yako na ili iweje?

Huwezi kuvaa kama Rihanna halafu ukamtukuza Mungu, iko mipaka kati ya watu wa Dunia na wacha Mungu.

Nakukemea, Badilika haraka .
Ka picha mkuu
 
Unajua kuimba lakini ni lazima ufahamu kwamba, Mavazi ya kubana nyama hayakubaliki kwa Watumishi wa Mungu, Unataka kumuonyesha nani hayo maungo yako na ili iweje?

Huwezi kuvaa kama Rihanna halafu ukamtukuza Mungu, iko mipaka kati ya watu wa Dunia na wacha Mungu.

Nakukemea, Badilika haraka .

Hawa waimbajia Hakuna lolote!
 
Unajua kuimba lakini ni lazima ufahamu kwamba, Mavazi ya kubana nyama hayakubaliki kwa Watumishi wa Mungu, Unataka kumuonyesha nani hayo maungo yako na ili iweje?

Huwezi kuvaa kama Rihanna halafu ukamtukuza Mungu, iko mipaka kati ya watu wa Dunia na wacha Mungu.

Nakukemea, Badilika haraka .

Tu picha muhimu au Mpo naye happ katoka picha?
 
Weka picha mkuu sio wote tunaishi huko daslamu.. wengine tupo Liwale na hatjawahi kumuina wala kusikia hizo nyimbo zake.
Ayaaaaah eeeeh

Ayaaaaah eeeeh

Utamwambia nn, ukimwona utamwambia nn ukimwona

Tunainama, tunasujudu Mungu ni mmoja tuu!
 
Unajua kuimba lakini ni lazima ufahamu kwamba, Mavazi ya kubana nyama hayakubaliki kwa Watumishi wa Mungu, Unataka kumuonyesha nani hayo maungo yako na ili iweje?

Huwezi kuvaa kama Rihanna halafu ukamtukuza Mungu, iko mipaka kati ya watu wa Dunia na wacha Mungu.

Nakukemea, Badilika haraka .
Wewe mfuasi wa Mbowe una tatizo gani? Huyu Bella mbona anavaa vizuri tu? Itakuwa umetazama picha zake za zamani kabla hajaokoka. Acha kukurupuka
 
Back
Top Bottom