Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndg yake chogobrazaSasa mtu anaitwa Kombo
Namshangaa sana!Tena katoka uislamuni huyo dada,angeyabeba mavazi yake ya misri aje nayo kanani ingependeza sana
Bora na wengine msemeMimi huyu dada sijawahi mwamini kama kweli anamsifu Mungu wake ...huyu kajchomeka upande huo coz aliharibu sana cv yake .juzi kwenye uzinduzi wa Duka la Christna Shusho alivaa jumpsuit imemchora toe camel balaa...argh kichrfchefu
Nadiriki kasema mleta mada anasumbuliwa na wivu wa kijinga.Mavazi anayovaa Bella, hayana shida yoyote. Sema kwa sababu ni mzuri na amejazia mnamtamani badala ya kufocus na huduma yake.
Roho zenu za tamaa zikashindwe kwa jina la ................
View attachment 3248567
Muangalie zaidi ya hapoNadiriki kasema mleta mada anasumbuliwa na wivu wa kijinga.
Huyu dada hapa kavaa vizuri kabisa wala hajatoka nje ya maadili
Ndio maana kaimba Mungu ni mmoja. Kuna miungu wengi sana.Tena katoka uislamuni huyo dada,angeyabeba mavazi yake ya misri aje nayo kanani ingependeza sana
Ni kweli lakini siyo kwenye mavaziNdio maana kaimba Mungu ni mmoja. Kuna miungu wengi sana.
Kufunguliwa inachukuaga muda kutegemea na hali ya ndani ya mtu husika. Kumbuka anajulikana Kwa sababu ya kipawa, kipawa hakibadilishi mtuUnajua kuimba lakini ni lazima ufahamu kwamba, Mavazi ya kubana nyama hayakubaliki kwa Watumishi wa Mungu, Unataka kumuonyesha nani hayo maungo yako na ili iweje?
Huwezi kuvaa kama Rihanna halafu ukamtukuza Mungu, iko mipaka kati ya watu wa Dunia na wacha Mungu.
Nakukemea, Badilika haraka .