Muimba wa Gospel Bela Kombo jitafakari, mavazi yako si ya Staha

Mimi huyu dada sijawahi mwamini kama kweli anamsifu Mungu wake ...huyu kajchomeka upande huo coz aliharibu sana cv yake .juzi kwenye uzinduzi wa Duka la Christna Shusho alivaa jumpsuit imemchora toe camel balaa...argh kichrfchefu
 
Shetani akizeeka....,
Walokole bhana ndo maana mpaka makanisani mnapigwa na LBL
Yaani huyu naye mnmuita mtumishi muimbaji Bora niendelee kula kaya na marasta
 
Kufunguliwa inachukuaga muda kutegemea na hali ya ndani ya mtu husika. Kumbuka anajulikana Kwa sababu ya kipawa, kipawa hakibadilishi mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…