Muitalia ana nyumba Zanzibar akifa ndugu zake wanaweza kurithi?

Muitalia ana nyumba Zanzibar akifa ndugu zake wanaweza kurithi?

Saleh

Member
Joined
Jun 20, 2007
Posts
11
Reaction score
5
Hamjambo?

Mwanamke fulani kutoka Italy ana nyumba Zanzibar tangu zamani. Huyu mwanamke anazeeka kwa hiyo anataka kuja nyumba yake inaweza kurithiwa na jamaa zake wanaoishi Italy? Pia warithi hawa wanaweza kukataa urithi?

Asanteni
 
hebu andika kiswahili fasaha tuelewe ni mzungu anaye nyumba au mzungu anae miliki nyumba?
 
Hamjambo?
Mwanamke fulani kutoka Italy ana nyumba Zanzibar tangu zamani. Huyu mwanamke anazeeka kwa hiyo anataka kuja nyumba yake inaweza kurithiwa na jamaa zake wanaoishi Italy? Pia warithi hawa wanaweza kukataa urithi?
Asanteni
Kama ana hatimiliki ya hiyo nyumba yani warka watarithi ndugu zake kikubwa awaoneshe kabisaa na awape document za Nyumba
 
Hamjambo?
Mwanamke fulani kutoka Italy ana nyumba Zanzibar tangu zamani. Huyu mwanamke anazeeka kwa hiyo anataka kuja nyumba yake inaweza kurithiwa na jamaa zake wanaoishi Italy? Pia warithi hawa wanaweza kukataa urithi?
Asanteni
Au kama vipi m nipo zenji hpa tutafute mtu anunue nyumba hiyo
 
hebu andika kiswahili fasaha tuelewe ni mzungu anaye nyumba au mzungu anae miliki nyumba?
Ha! Ha! "anae miliki" si Kiswahili fasaha! Kiswahili fasaha ni "anaye nyumba" au "anayemiliki nyumba". Soma zaidi.
 
Kama ana hatimiliki ya hiyo nyumba yani warka watarithi ndugu zake kikubwa awaoneshe kabisaa na awape document za Nyumba
Nakushukuru sana. Hata kama ni wageni? Tena kama wana haki ya urithi lakini hawataki, wanaruhusiwa kukataa?
 
Kama ni nyumba ya kuishi tu na sio hoteli au nyumba ya biashara basi hati yake itakuwa ni batili sababu sheria ya ardhi hairuhusu mgeni kumiliki ardhi kama sio kwa lengo la kuwekeza, na kama ni vinginevyo basi watoto wake watapaswa kuandika barua yenye sababu za kukataa urithi kabla ya mwezi ili wasiendelee kudaiwa kodi
 
Kama ni nyumba ya kuishi tu na sio hoteli au nyumba ya biashara basi hati yake itakuwa ni batili sababu sheria ya ardhi hairuhusu mgeni kumiliki ardhi kama sio kwa lengo la kuwekeza, na kama ni vinginevyo basi watoto wake watapaswa kuandika barua yenye sababu za kukataa urithi kabla ya mwezi ili wasiendelee kudaiwa kodi
Mgeni anauziwa Ardhi Zanzibar ila mgeni anauziwa kwa kukodishwa sio kumiliki moja kwa moja na anatakiwa arenew mkataba wake nahis baada ya 2yrs

Uko sahihi mkuu
 
Mgeni anauziwa Ardhi Zanzibar ila mgeni anauziwa kwa kukodishwa sio kumiliki moja kwa moja na anatakiwa arenew mkataba wake nahis baada ya 2yrs

Uko sahihi mkuu
Kweli! Mgeni anaruhusiwa kukodisha tu. Huyu mwanamke ana "Lease".
 
Kama ni nyumba ya kuishi tu na sio hoteli au nyumba ya biashara basi hati yake itakuwa ni batili sababu sheria ya ardhi hairuhusu mgeni kumiliki ardhi kama sio kwa lengo la kuwekeza, na kama ni vinginevyo basi watoto wake watapaswa kuandika barua yenye sababu za kukataa urithi kabla ya mwezi ili wasiendelee kudaiwa kodi
Huyu mwanamke si mliki, amepata "Lease" tu.
 
Mgeni anauziwa Ardhi Zanzibar ila mgeni anauziwa kwa kukodishwa sio kumiliki moja kwa moja na anatakiwa arenew mkataba wake nahis baada ya 2yrs

Uko sahihi mkuu
Ni kweli, lakini wageni wanatakiwa kuomba "lease" upya baada ya miaka 33 au 66 au 99.
 
Ndugu zake wanaweza kurithi ila baadae wauze wachukue mpunga
Kuna kesi Msomi Zakaria Maseke alishaiweka hapa inayozungumzia issue kama hiyo.
 
Back
Top Bottom