Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama nini?
Kwamba unaaandikiwa thread na wife wako alafu unajinadi humu na uandishi🤣
Karibu MissNaomba niwe host wenu
Hapo wanaoweza battle waje...Hahahah my brothers are women
Naona BAN yako ya Siku 5 imeisha. Vipi je, utaendelea kuzitumia zote au sasa ile ya UMUGHAKA utaipumzisha kidogo?Muda na siku ipi? Maada iwe nini
binafsi namtamguliza mwanangu GENTAMYCINE anamtosha kubatle nae
Nisaidie tu Kuniulizia Kwake je, atapigana nami kwa kuzitumia ID's zake zote za The Legacy na ya UMUGHAKA au Moja?Hahaha GENTAMYCINE unauitwa mkuu
HahahahahhahahahahshNisaidie tu Kuniulizia Kwake je, atapigana nami kwa kutumia ID's zake zote za The Legacy na ya UMUGHAKA au Moja?
Kaka zangu wanawake😉😉Andazi
mshamba_255 mshamba_mwingine
mshamba_mwingine
PSL god
Naomba wingi wa sentensi hii "Kaka Yangu ana Mke"
Keyboard warrior naona Unajipa moyo!Nisaidie tu Kuniulizia Kwake je, atapigana nami kwa kuzitumia ID's zake zote za The Legacy na ya UMUGHAKA au Moja?
Achana na huyo mwanamke ambaye hajakeketwa Hana akili timamu!
Hahahah GENTAMYCINE vp benja una la kusema??Achana na huyo mwanamke ambaye hajakeketwa Hana akili timamu!
Ni aibu mwanamke wa kizanaki ambaye hujakeketwa kutajataja jina la mwanaume shababi wa kikurya!Naona BAN yako ya Siku 5 imeisha. Vipi je, utaendelea kuzitumia zote au sasa ile ya UMUGHAKA utaipumzisha kidogo?
Naona sasa ile ya The Legacy umeipumzisha kidogo.Keyboard warrior naona Unajipa moyo!
Hapa Jukwaani Mwanaume aitwaye UMUGHAKA anayo akaunti moja tu na ndiyo hii anayoitumia,kama unadhani naweza Kuwa na akaunti zaidi ya moja hayo ni matumizi mabaya ya akili kama ambavyo wewe huna akili hata moja!
Muulize anapata faida gani kutumia ID's zake zote mbili hizo tajwa / nilizozitaja huku wenye Akili kumzidi tunamsanifu tu?Hahahah GENTAMYCINE vp benja una la kusema??
Kama ambavyo na wewe umepumzisha zako?Naona sasa ile ya The Legacy umeipumzisha kidogo.