Mujibu wa Kanuni: Mayele anachukua Tuzo Mfungaji Bora

Mujibu wa Kanuni: Mayele anachukua Tuzo Mfungaji Bora

Kanuni hiyo ya magoli ya penati kuwa na nguvu kidogo mmeitoa wapi? Yanga ushamba unawasumbua.

Goli ni goli tu hakuna goli kubwa au dogo.

Ni kanuni zenu na Manara hizo.
 
Kanuni hiyo ya magoli ya penati kuwa na nguvu kidogo mmeitoa wapi? Yanga ushamba unawasumbua.

Goli ni goli tu hakuna goli kubwa au dogo.

Ni kanuni zenu na Manara hizo.
Ficha ujinga kwa ku google experience ya misimu iliyopita.
 
Nimekuuliza unitajie kanuni wewe unaleta ujinga hapa. Tunajadiliana kama GT Leta kanuni inayosema goli la penati ni dogo na linathamani ndogo kulinganisha na magoli mengine.
FB_IMG_1686327652373~2.jpg
 
Huyo anaesema yeye hana magoli ya penati kuna mtu alimwambia awe anapaisha mipira akipewa kupiga penati?

Kuna magoli yamewapa Yanga ushindi mf. Geita vs Yanga huko mwanza . Je , yafutwe kwakuwa magoli ya penati hayana uzito na Yanga anyang'anywe point?

Mi nafikiri kila goli lina umuhimu bila kujali nila penati au siyo la penati. Hivyo Mayele na Saido wagawane zawadi ya mfungaji bora.

NB ; Hiyo kanuni ya penati niya musimu wa mwaka 2021/2022 tu na wala siyo vinginevyo. Hakuna sehemu inasema itaanza 2021 / 2022 na itaendelea kutumika kila musimu wa ligi.
 
Kwa mujibu wa kanuni
kwenye sheria ya bodi ya ligi.

Endapo wawili watafungana,
Yanaondolewa magoli ya penati.

Ikiwa sawa sawa,
Inaangaliwa dakika alizocheza mchezaji

KUGAWANA HII TUZO NI SIASA
SHERIA NA KANUNI ZA LIGI ZIFUATWE


View attachment 2651493
Jitulize utopolo. 1.assist
2.magoli ya penati
Screenshot_20230609-213227.jpg
Screenshot_20230609-214511.jpg
 
Kwa mujibu wa kanuni
kwenye sheria ya bodi ya ligi.

Endapo wawili watafungana,
Yanaondolewa magoli ya penati.

Ikiwa sawa sawa,
Inaangaliwa dakika alizocheza mchezaji

KUGAWANA HII TUZO NI SIASA
SHERIA NA KANUNI ZA LIGI ZIFUATWE


View attachment 2651493
Naona unajitungia kanuni zako.

Uto Hanna maarifa kabisa
 
Back
Top Bottom