Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
Mara chache sana huwa tunapata taarifa za kujenga na zisizo za kishabiki kutoka gazeti la Uhuru na hii ya leo ni moja ya hizo.........................
Gazeti la Uhuru linatuhabarisha ya kuwa Naibu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mlimani Profesa Mukandala amemshauri JK akubaliane na mabadiliko ya Katiba akisema hivi sasa ni wakati mwafaka kuibadili katiba iliyopo...................
Gazeti la Uhuru linatuhabarisha ya kuwa Naibu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mlimani Profesa Mukandala amemshauri JK akubaliane na mabadiliko ya Katiba akisema hivi sasa ni wakati mwafaka kuibadili katiba iliyopo...................