OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hizi ni habari za uhakika,kama hutaki acha sikulazimishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unahaha na yanga! Pole sana
mkuu unaonaje ukiniweka ignore list. Nakukera sana humu 🤣🤣🤣🤣Unahaha na yanga! Pole sana
unateseka mkubwa?Kuna haja ya mleta uzi kupimwa Tezi dume au corona kwa kipimo cha wachina
Katika mpira vitu kama hivi 'huwaga' vinatokea mkuu na hii yote ni kutokana na mchezaji kuangalia mambo kadhaa kwa team inayomtaka.
Mimi sijakataa mkuu,nimetoa habari tu. Nashauri wamwache aende zake atafute maishaKatika mpira vitu kama hivi 'huwaga' vinatokea mkuu na hii yote ni kutokana na mchezaji kuangalia mambo kadhaa kwa team inayomtaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Apimwe sababu gani? Kwani nyie mnapenda kuskia habari gani labda ambazo mtazipenda?Kuna haja ya mleta uzi kupimwa Tezi dume au corona kwa kipimo cha wachina
Vip kijora hazipata hizi habar.Mimi sijakataa mkuu,nimetoa habari tu. Nashauri wamwache aende zake atafute maisha
Na wewe upimwe marinda,yamo hayamo?Kuna haja ya mleta uzi kupimwa Tezi dume au corona kwa kipimo cha wachina
Wanataka kusikia kuwa Simba amenyang'anywa mataji yote.Apimwe sababu gani? Kwani nyie mnapenda kuskia habari gani labda ambazo mtazipenda?
Hawa jamaa ni watu wa ajabu kweli. Kocha wao mwenyewe juzi alilalamika eti amesajiliwa wachezaji ambao hajawapenda. Sasa hizi habar kwao wanaona si zwa kweli, ila za Simba ndo za kweli.Wanataka kusikia kuwa Simba amenyang'anywa mataji yote.
Mchukueni nyie Simba kama mtaweza.Unatuletea umbea usiokuwa na maana hapa
Hata usisikilize uongo na propaganda mfu hizo .Hawa berkane na huyu ibenge wameamua, msimu ujao ni wa kukaa nao mbali hawa wahuni.
Mukoko Tonombe alikuwa anaumwa nyama za nyuma ya paja kwa siku mbili za mwanzo za mazoezi kwahiyo alikuwa anafanya special training, ila kwasasa anaendelea vzr na sasa kajinga na wenzake kwa ajili ya mazoezi ya pamojaMpaka aibu jitu zima kuandika vitu ambavyo hana uhakika navyo. HovyoooooooooView attachment 1898848