SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Wewe ukapimwe marinda.Naomba mtoa post OKW BOBAN SUNZU akapimwe Corona kwa kutumia kipimo cha Rula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ukapimwe marinda.Naomba mtoa post OKW BOBAN SUNZU akapimwe Corona kwa kutumia kipimo cha Rula
So what?
Jukumu langu kuu ni kuwa kioo cha watu kama nyie ambao hamjitambui maana JF si uwanja wa maboara kama inst. Ni vyema ukabadilika na usipobadilika ni jukumu letu kukukumbusha hadi upate ukomavu wa akili. Hatuchoki mpaka ubadilikemkuu unaonaje ukiniweka ignore list. Nakukera sana humu 🤣🤣🤣🤣
Kuna huyu dogo OKW BOBAN SUNZU anaboa ati naye ni GTAisee!! Mtani punguza kucopy copy habari za waandishi uchwara.
Haya chukua hiyo 👇
View attachment 1899049
Sometimes huwa namfananisha mambo yake na Manara hajui tu. 🙁Kuna huyu dogo OKW BOBAN SUNZU anaboa ati naye ni GT
Hata kama timu huipendi si unaiweka katika ignore list? Ana utoto mwingi mara yanga imenakili jezi mara hili na lile! Tunajua hao na mpuuzi mwenzie ni wanazi wa simba, kwanini wasianishe sredi za kisimba na ndani wakaikandia yanga, si kuanzisha sredi kama 30 kwa siku kukandia mpinzani wako wakati hata wewe huchezi mpira, usabiki maandaziSometimes huwa namfananisha mambo yake na Manara hajui tu. 🙁
Ni kweli umesema wala sio ajabu mukoko kuomba kuondoka,kwani ameona tuisila kaondoka na huko atapewa mshahara mkubwa,waongee nae tuKatika mpira vitu kama hivi 'huwaga' vinatokea mkuu na hii yote ni kutokana na mchezaji kuangalia mambo kadhaa kwa team inayomtaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka aibu jitu zima kuandika vitu ambavyo hana uhakika navyo. HovyoooooooooView attachment 1898848
Jukumu langu kuu ni kuwa kioo cha watu kama nyie ambao hamjitambui maana JF si uwanja wa maboara kama inst. Ni vyema ukabadilika na usipobadilika ni jukumu letu kukukumbusha hadi upate ukomavu wa akili. Hatuchoki mpaka ubadilike
Hata kama timu huipendi si unaiweka katika ignore list? Ana utoto mwingi mara yanga imenakili jezi mara hili na lile! Tunajua hao na mpuuzi mwenzie ni wanazi wa simba, kwanini wasianishe sredi za kisimba na ndani wakaikandia yanga, si kuanzisha sredi kama 30 kwa siku kukandia mpinzani wako wakati hata wewe huchezi mpira, usabiki maandazi
Muuuuuue!Hata kama timu huipendi si unaiweka katika ignore list? Ana utoto mwingi mara yanga imenakili jezi mara hili na lile! Tunajua hao na mpuuzi mwenzie ni wanazi wa simba, kwanini wasianishe sredi za kisimba na ndani wakaikandia yanga, si kuanzisha sredi kama 30 kwa siku kukandia mpinzani wako wakati hata wewe huchezi mpira, usabiki maandazi
Muuuue!Sometimes huwa namfananisha mambo yake na Manara hajui tu. 🙁
Unaumwa si bureWewe usituchoshe bwana,JF miaka yote ipo na watu wanapost wapendavyo,wewe nani unataka kupangia watu cha kupost.Mwache apost kwa raha zake,huwezi soma amekushauri kiroho safi,muweke kwenye Ignore list,tuache sisi tusome.Yani Utopolo ukitikiswa kidogo tu povu kama lote,mbona wewe unatujaziaga misread ya ovyo ovyo na tunakuvumilia.
Itabidi nikupe panga ufanye kazi hiyoMuuuuuue!
Nawe mpuuzi, onesha sredi nimeanzisha hapa JFTangu lini wewe umejipa majukumu ya kupangia watu nini cha kupost? Yani unapenda kusoma kila upendacho wewe tu? Mbona wewe unatupostiaga vitu vya ovyo ovyo na bado tunakuvumilia kwa sababu ni haki yako pia.Kama upo hapa JF jifunze pia kuheshimu mawazo ya wengine hata kama hupendi kuyasikia,hapa siyo nyumbani kwako pa kutuwekea visheria vyako uchwara ebo.
Nawe mpuuzi, onesha sredi nimeanzisha hapa JF
Unaumwa si bure
Aisee!! Mtani punguza kucopy copy habari za waandishi uchwara.
Haya chukua hiyo 👇
View attachment 1899049