Mukoko agomea mazoezi Yanga,baada ya ofa yake kukataliwa

Mukoko agomea mazoezi Yanga,baada ya ofa yake kukataliwa

mkuu unaonaje ukiniweka ignore list. Nakukera sana humu 🤣🤣🤣🤣
Jukumu langu kuu ni kuwa kioo cha watu kama nyie ambao hamjitambui maana JF si uwanja wa maboara kama inst. Ni vyema ukabadilika na usipobadilika ni jukumu letu kukukumbusha hadi upate ukomavu wa akili. Hatuchoki mpaka ubadilike
 
Sometimes huwa namfananisha mambo yake na Manara hajui tu. 🙁
Hata kama timu huipendi si unaiweka katika ignore list? Ana utoto mwingi mara yanga imenakili jezi mara hili na lile! Tunajua hao na mpuuzi mwenzie ni wanazi wa simba, kwanini wasianishe sredi za kisimba na ndani wakaikandia yanga, si kuanzisha sredi kama 30 kwa siku kukandia mpinzani wako wakati hata wewe huchezi mpira, usabiki maandazi
 
Katika mpira vitu kama hivi 'huwaga' vinatokea mkuu na hii yote ni kutokana na mchezaji kuangalia mambo kadhaa kwa team inayomtaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli umesema wala sio ajabu mukoko kuomba kuondoka,kwani ameona tuisila kaondoka na huko atapewa mshahara mkubwa,waongee nae tu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Jukumu langu kuu ni kuwa kioo cha watu kama nyie ambao hamjitambui maana JF si uwanja wa maboara kama inst. Ni vyema ukabadilika na usipobadilika ni jukumu letu kukukumbusha hadi upate ukomavu wa akili. Hatuchoki mpaka ubadilike

Tangu lini wewe umejipa majukumu ya kupangia watu nini cha kupost? Yani unapenda kusoma kila upendacho wewe tu? Mbona wewe unatupostiaga vitu vya ovyo ovyo na bado tunakuvumilia kwa sababu ni haki yako pia.Kama upo hapa JF jifunze pia kuheshimu mawazo ya wengine hata kama hupendi kuyasikia,hapa siyo nyumbani kwako pa kutuwekea visheria vyako uchwara ebo.
 
Hata kama timu huipendi si unaiweka katika ignore list? Ana utoto mwingi mara yanga imenakili jezi mara hili na lile! Tunajua hao na mpuuzi mwenzie ni wanazi wa simba, kwanini wasianishe sredi za kisimba na ndani wakaikandia yanga, si kuanzisha sredi kama 30 kwa siku kukandia mpinzani wako wakati hata wewe huchezi mpira, usabiki maandazi

Wewe usituchoshe bwana,JF miaka yote ipo na watu wanapost wapendavyo,wewe nani unataka kupangia watu cha kupost.Mwache apost kwa raha zake,huwezi soma amekushauri kiroho safi,muweke kwenye Ignore list,tuache sisi tusome.Yani Utopolo ukitikiswa kidogo tu povu kama lote,mbona wewe unatujaziaga misread ya ovyo ovyo na tunakuvumilia.
 
Hata kama timu huipendi si unaiweka katika ignore list? Ana utoto mwingi mara yanga imenakili jezi mara hili na lile! Tunajua hao na mpuuzi mwenzie ni wanazi wa simba, kwanini wasianishe sredi za kisimba na ndani wakaikandia yanga, si kuanzisha sredi kama 30 kwa siku kukandia mpinzani wako wakati hata wewe huchezi mpira, usabiki maandazi
Muuuuuue!
 
Wewe usituchoshe bwana,JF miaka yote ipo na watu wanapost wapendavyo,wewe nani unataka kupangia watu cha kupost.Mwache apost kwa raha zake,huwezi soma amekushauri kiroho safi,muweke kwenye Ignore list,tuache sisi tusome.Yani Utopolo ukitikiswa kidogo tu povu kama lote,mbona wewe unatujaziaga misread ya ovyo ovyo na tunakuvumilia.
Unaumwa si bure
 
Tangu lini wewe umejipa majukumu ya kupangia watu nini cha kupost? Yani unapenda kusoma kila upendacho wewe tu? Mbona wewe unatupostiaga vitu vya ovyo ovyo na bado tunakuvumilia kwa sababu ni haki yako pia.Kama upo hapa JF jifunze pia kuheshimu mawazo ya wengine hata kama hupendi kuyasikia,hapa siyo nyumbani kwako pa kutuwekea visheria vyako uchwara ebo.
Nawe mpuuzi, onesha sredi nimeanzisha hapa JF
 
Tumechoka na nyuzi zako za kimbea utadhani upo na utelembwe mwenzio..

Na yule alieanza mazoezi leo ni nani?
 
Back
Top Bottom