Mulbery Fruits, haya ni matunda ambayo yako Under rated sana

Mulbery Fruits, haya ni matunda ambayo yako Under rated sana

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Mulbery ni moja ya matunda yenye radha nzuri sana, na pia yana kazi nyingi sanakuanzia kutengeneza Juice, Jam, Ice cream na kadhalika.

Haya matunda tunayo mitaani kwetu sehemu mbali mbali na watu hatujajua kwamba ni pesa imelala pale, Mfano Jam za haya matunda usipime kabisa, Kuna Mama mmoja wa Kihindi Arusha nilikuwaga na Muuzia Strawberry sasa alikuwa na hii miti kama 9 kwenye compaund yao na ikawa imezaa hasa, na huwa ana chuma anatengeneza Jam kwa ajili yake, alinipa pakiti 1 aisee ni nzuri kwa kweli.

Haya matunda nchi zingine yanalimwa na yanauzwa super Market na mitaani, na pia yanatengeneza Fresh juice na Jam na Ice cream.

Now day Vibanda vya kuuzia Juice vimejaa kila kona ya miji lakini asilimia 100 wanatumia matunda yanayo fanana, Ila sio kosa lao kwa sababu hakuna mbadala na hayo ndo yanayo patikana.

Mulbery ni rahisi sana kulima make huhitaji kuja kuanza kumwagilia maji.

WATU WATAULIZA SOKO LAKE VIPI?

Uzuri haya matunda asilimia 99 ya Watanzania tunayajua ila tusicho jua ni kama ni biashara, asilimia kubwa tusha yala mitaani na huko Bushi kwetu, sema hatujui kama kuna pesa pale.Wazungu na Asian wanayajua fika sana na huu mmea ulitokea Asia.

Haya ukilima soko haliwezi kuwa changamoto kwa sababu yanajulikana sana na raia wengi, Haya uki introduce kwa wanao tengeneza fresh juice hawata yaacha kamwe, bado watengeneza Ice cream bado wazalisha Jam.

Haya huhitaji miche unakata tu vijiti unaotesha, Ingawa kuna Hybrid yake niliona Kenya ambayo inakuwa fupi kiasi.

Kuliko kuwa na mashamba yamelala otesha vitu kama hivi, utakuja kurudi kunishukuru one day.

Tusingoje sijui Bashe atutangazie, au tuone kwenye TV mtu analima na sisi ndo tukimbilie kulima.
View attachment 2243276View attachment 2243277
 
Juice
FB_IMG_1653814188716.jpg
 
Mulbery ni moja ya matunda yenye radha nzuri sana, na pia yana kazi nyingi sanakuanzia kutengeneza Juice, Jam, Ice cream na kadhalika.

Haya matunda tunayo mitaani kwetu sehemu mbali mbali na watu hatujajua kwamba ni pesa imelala pale, Mfano Jam za haya matunda usipime kabisa, Kuna Mama mmoja wa Kihindi Arusha nilikuwaga na Muuzia Strawberry sasa alikuwa na hii miti kama 9 kwenye compaund yao na ikawa imezaa hasa, na huwa ana chuma anatengeneza Jam kwa ajili yake, alinipa pakiti 1 aisee ni nzuri kwa kweli.

Haya matunda nchi zingine yanalimwa na yanauzwa super Market na mitaani, na pia yanatengeneza Fresh juice na Jam na Ice cream.

Now day Vibanda vya kuuzia Juice vimejaa kila kona ya miji lakini asilimia 100 wanatumia matunda yanayo fanana, Ila sio kosa lao kwa sababu hakuna mbadala na hayo ndo yanayo patikana.

Mulbery ni rahisi sana kulima make huhitaji kuja kuanza kumwagilia maji.

WATU WATAULIZA SOKO LAKE VIPI?

Uzuri haya matunda asilimia 99 ya Watanzania tunayajua ila tusicho jua ni kama ni biashara, asilimia kubwa tusha yala mitaani na huko Bushi kwetu, sema hatujui kama kuna pesa pale.Wazungu na Asian wanayajua fika sana na huu mmea ulitokea Asia.

Haya ukilima soko haliwezi kuwa changamoto kwa sababu yanajulikana sana na raia wengi, Haya uki introduce kwa wanao tengeneza fresh juice hawata yaacha kamwe, bado watengeneza Ice cream bado wazalisha Jam.

Haya huhitaji miche unakata tu vijiti unaotesha, Ingawa kuna Hybrid yake niliona Kenya ambayo inakuwa fupi kiasi.

Kuliko kuwa na mashamba yamelala otesha vitu kama hivi, utakuja kurudi kunishukuru one day.

Tusingoje sijui Bashe atutangazie, au tuone kwenye TV mtu analima na sisi ndo tukimbilie kulima.
View attachment 2243276View attachment 2243277
Tulikua tunayaita maforosadi
 
Watanzania kwenye kutumia akili kuwaza hatumo, fullu kuiga na kufuatana kama Nyumbu, yaani watu kutumia akili ni vigumu sana wanaishi kwa kuigana hivyo vitu kama hivi hawawezi changamkia make inahitajika akili na oia hawajaona mtu analima ni hadi waone kwenye TV, Wakenya hope wanafanya haya mavitu make wale wako mbele masaaa kadhaaa ukilinganisha na Watanzania
 
Yalikuwepo nyumbani mwanza ila sijawahi kuwaza kutengeneza juice sijui km nimepatia sisi bara tunayaita misoroswati
 
Watanzania kwenye kutumia akili kuwaza hatumo, fullu kuiga na kufuatana kama Nyumbu, yaani watu kutumia akili ni vigumu sana wanaishi kwa kuigana hivyo vitu kama hivi hawawezi changamkia make inahitajika akili na oia hawajaona mtu analima ni hadi waone kwenye TV, Wakenya hope wanafanya haya mavitu make wale wako mbele masaaa kadhaaa ukilinganisha na Watanzania
Acha kasumba na dhana ya ku generalize Jambo au kitu fulani, unaposema watanzania ni wote au wangapi? Pia jifunze kujiamni sio kila kitu wakenya wanajua vinginevyo inferiority complex itakutesa sana.
 
Kijijini kwetu tunayaita 'fitong'oni'

Ni matamu kweli lakini hakuna aliyekua akiotesha actively badala yake yalikua yanajiotea tu na mpaka leo haipo mingi hii miti.

Miaka ya 2009 nilikua nauona mti wake kwenye zile ofisi za Taasisi ya Kiswahili pale Makumbusho.

Sidhani kama watu wanayajua sana haya matunda.
 
Daah..umenikumbusha mbali sana..kitaa cha home miaka nasoma primary.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kijijini kwetu tunayaita 'fitong'oni'

Ni matamu kweli lakini hakuna aliyekua akiotesha actively badala yake yalikua yanajiotea tu na mpaka leo haipo mingi hii miti.

Miaka ya 2009 nilikua nauona mti wake kwenye zile ofisi za Taasisi ya Kiswahili pale Makumbusho.

Sidhani kama watu wanayajua sana haya matunda.
Hayajiotei mkuu lazima uoteshe kijiti chake
 
Maforosadi/ miforosadi.
Yanapandwa kwa kukataa kipande cha mti wake, yanaota na kustawi kirahisi sana yakipata maji kidogo wakati wa kuuotesha
 
Back
Top Bottom