Mulbery Fruits, haya ni matunda ambayo yako Under rated sana

Mulbery Fruits, haya ni matunda ambayo yako Under rated sana

Je miche au kipande chake cha mti kinaweza kupatikana Dar es Salaam
Ndiyo,Dar na Pwani yanastawi sana,upo wapi nikutumie vipande 5,ukachukue stend ya Mbezi .

Mbegu bure,ila utamlipa konda gharama za usafirishaji,nitumie namba yako pm.

Vinaota kirahisi unapanda kama muhogo au muwa,Ila usivigeuze tu yaani kupanda juu chini.
 
Ndiyo,Dar na Pwani yanastawi sana,upo wapi nikutumie vipande 5,ukachukue stend ya Mbezi .

Mbegu bure,ila utamlipa konda gharama za usafirishaji,nitumie namba yako pm.

Vinaota kirahisi unapanda kama muhogo au muwa,Ila usivigeuze tu yaani kupanda juu chini.
Shukrani sana mkuu, nitakutumia namba. hiyo imekaa vizuri.
 
Ndiyo,Dar na Pwani yanastawi sana,upo wapi nikutumie vipande 5,ukachukue stend ya Mbezi .

Mbegu bure,ila utamlipa konda gharama za usafirishaji,nitumie namba yako pm.

Vinaota kirahisi unapanda kama muhogo au muwa,Ila usivigeuze tu yaani kupanda juu chini.
Ndugu JS Farms ubarikiwe sana, mzigo jana niliupata na ukiwa katika hali nzuri. Nmevipanda vipande leo asubuhi, sasa nasuburi kudra za Mwenyezi Mungu, vianze kuota.
 
Ndugu JS Farms ubarikiwe sana, mzigo jana niliupata na ukiwa katika hali nzuri. Nmevipanda vipande leo asubuhi, sasa nasuburi kudra za Mwenyezi Mungu, vianze kuota.
Dah siajawi ona upendo wa namna hii humu jamvini,hakika mnahitaji pongezi
Labda na sie wa mikoani siku moja tutakuja pendana,
 
Mrejesho wa vipande vya Mulberry nilivyootesha: Katika vipande saba nilivyopata kutoka kwa bwana JS Farm, vitatu viliota baada ya kama miezi miwili. Niliotesha katika chupa kubwa za maji ya lita 5. Udongo ulikuwa mchanga na rundo la majani yaliyooza. Kisha nikaweka kivulini na kumwagilia kila jioni, baada ya vijiti kuchipua, nikaamisha na kuweka juani. Saivi urefu wa miche ni kama futi mbili kwenda tatu.
 
Back
Top Bottom