Private Mpelelezi
Member
- Jul 14, 2013
- 16
- 13
Ndugu Wana JF
Kwanza ni declare interest..mimi ni Private Detective nina degree ya criminology kutoka chuo kimoja huko Salt Lake nchini America.....nina takribani mwaka mmoja toka nimerudi nchini sikutaka na kamwe sitaki kuomba kazi kwenye vyombo vyetu vya usalama kwani bado vinavafanya kazi in a primitive way hata i doubt kama wana value professionalism....vyombo vingi vya usalama vinafanya kazi kwa mazoea ( INTUITIVE APPEAL) badala ya kisayansi zaidi ( SCIENTIFIC APPEAL).
Kwahiyo i decided not be part of this out of touch system. Just imagine mpaka kwenye karne hii bado jeshi letu la polisi linatumia madaftari ya COUNTER BOOK kuchukua na kuhifadhi taarifa za makosa, jamani hata DESKTOP inawashinda?? hakuna efficiency hapo ni ubabishaji tu, halafu mwisho wa siku unapewa kijikaratasi cha RB ambacho inabidi ukitunze kama mboni ya jicho otherwise kikipotea inakua ni hasara kwako. Kusema kweli hali ya jeshi letu la POLISI inatia huzuni, people are too busy to discuss politics and economics but bila usalama uliotengemaa hatuwezi kufanya siasa wala kufanya shughuli za kiuchumi. TUAMKE na TUMULIKE Usalama wetu na mali zetu ulio mashakani.
Now, let me come back to my topic. Siku za karibuni kumezuka wizi wa vifaa vya magari hapa jijini hapa Dar Es Salaam. Wizi huu unahusisha vifaa vya magari kama taa za mbele na nyuma, power windows, bumper za mbele na show, radio, control box na site mirrors. Wizi huu unahusisha mtandao mkubwa unaohusisha Majambazi, Baadhi ya Polisi, Mafundi wa Magari na Wauzaji Wa Vifaa vya magari pale Karume na Gerezani. Haya ninayoandika nina ushahidi nao kwani kwa takribani miezi mitatu nimekua nikifanya private investigation kwenye maeneo ya Mburahati, Temeke, Karume na Gerezani. Na taarifa ya awali inanifanya niseme bila kuficha HALI YA USALAMA NI HATARI kwani huu mtandao ni mkubwa sana na kama juhudi hazitafanyika hakika wataitawala DAR.
KARUME PANATISHA
Upelelezi wangu ulihusisha pale KARUME ambapo ni eneo maarufu kwa uuzaji wa vifaa vya magari, nilienda pale nikakutana na wauzaji na kuwaambia ya kuwa na tafuta taa za mbele za gari yangu ya HARRIER walianimbia niwaachie order then nirude siku inayofuata, niliporudi the following day nilikuta taa ziko tayari nilipowauliza wamezitoa wapi walinijibu zimeagizwa kutoka nje, moyo wangu ulinishtuka ila kuendelea na upelelezi wangu niliwaambia wanipatie uthibitisho wa kuwa hizo taa zimeagizwa kutoka nje, nilichoambuliwa ni matusi na kuambiwa nipotee haraka iwezekanavyo kabla hawajanifanyia kitu mbaya......ni wakati sasa vyombo vya usalama kuamka na kufanya kazi kwani naamini vifaa vingi vya magari vilivyotapakaa kwenye maduka havina vithibitisho vya uhalali kwani vingi ni vya wizi.
NDUGU SULEIMA KOVA, badala ya kutumia nguvu na rasilimali nyingi kwenye maandamano ya wanafunzi, CHADEMA na WAISLAMU ni wakati sasa wa kuelekezea nguvu hizo kwa wahalifu ambao kila kukicha wanaigeuza DAR kuwa their PLAYING GROUND.
THE WAY FORWARD
1. Ndugu Suleiman Kova Ajiuzulu kwani ame prove failure katika kuhakikisha usalama wa raia na mali zao
2. Upekuzi yakinifu ufanyika katika maduka ya spare parts yaliyozagaa pale Karume na Gerezani kujua vifaaa wanavyouza wamevitoa wapi
3.Kwa wenye magari hakikisheni mnaweka alama ama initials kwenye vifaaa muhimu kama taa, vioo na site mirrors. Ingiwa sio suluhisho but linapunguza thamana ya vifaa hivyo kwa atakaeiba
Nakaribisha mawazo yenu kupambana na mtandao huu hatari hapa Jijini.
Nawasilisha
Kwanza ni declare interest..mimi ni Private Detective nina degree ya criminology kutoka chuo kimoja huko Salt Lake nchini America.....nina takribani mwaka mmoja toka nimerudi nchini sikutaka na kamwe sitaki kuomba kazi kwenye vyombo vyetu vya usalama kwani bado vinavafanya kazi in a primitive way hata i doubt kama wana value professionalism....vyombo vingi vya usalama vinafanya kazi kwa mazoea ( INTUITIVE APPEAL) badala ya kisayansi zaidi ( SCIENTIFIC APPEAL).
Kwahiyo i decided not be part of this out of touch system. Just imagine mpaka kwenye karne hii bado jeshi letu la polisi linatumia madaftari ya COUNTER BOOK kuchukua na kuhifadhi taarifa za makosa, jamani hata DESKTOP inawashinda?? hakuna efficiency hapo ni ubabishaji tu, halafu mwisho wa siku unapewa kijikaratasi cha RB ambacho inabidi ukitunze kama mboni ya jicho otherwise kikipotea inakua ni hasara kwako. Kusema kweli hali ya jeshi letu la POLISI inatia huzuni, people are too busy to discuss politics and economics but bila usalama uliotengemaa hatuwezi kufanya siasa wala kufanya shughuli za kiuchumi. TUAMKE na TUMULIKE Usalama wetu na mali zetu ulio mashakani.
Now, let me come back to my topic. Siku za karibuni kumezuka wizi wa vifaa vya magari hapa jijini hapa Dar Es Salaam. Wizi huu unahusisha vifaa vya magari kama taa za mbele na nyuma, power windows, bumper za mbele na show, radio, control box na site mirrors. Wizi huu unahusisha mtandao mkubwa unaohusisha Majambazi, Baadhi ya Polisi, Mafundi wa Magari na Wauzaji Wa Vifaa vya magari pale Karume na Gerezani. Haya ninayoandika nina ushahidi nao kwani kwa takribani miezi mitatu nimekua nikifanya private investigation kwenye maeneo ya Mburahati, Temeke, Karume na Gerezani. Na taarifa ya awali inanifanya niseme bila kuficha HALI YA USALAMA NI HATARI kwani huu mtandao ni mkubwa sana na kama juhudi hazitafanyika hakika wataitawala DAR.
KARUME PANATISHA
Upelelezi wangu ulihusisha pale KARUME ambapo ni eneo maarufu kwa uuzaji wa vifaa vya magari, nilienda pale nikakutana na wauzaji na kuwaambia ya kuwa na tafuta taa za mbele za gari yangu ya HARRIER walianimbia niwaachie order then nirude siku inayofuata, niliporudi the following day nilikuta taa ziko tayari nilipowauliza wamezitoa wapi walinijibu zimeagizwa kutoka nje, moyo wangu ulinishtuka ila kuendelea na upelelezi wangu niliwaambia wanipatie uthibitisho wa kuwa hizo taa zimeagizwa kutoka nje, nilichoambuliwa ni matusi na kuambiwa nipotee haraka iwezekanavyo kabla hawajanifanyia kitu mbaya......ni wakati sasa vyombo vya usalama kuamka na kufanya kazi kwani naamini vifaa vingi vya magari vilivyotapakaa kwenye maduka havina vithibitisho vya uhalali kwani vingi ni vya wizi.
NDUGU SULEIMA KOVA, badala ya kutumia nguvu na rasilimali nyingi kwenye maandamano ya wanafunzi, CHADEMA na WAISLAMU ni wakati sasa wa kuelekezea nguvu hizo kwa wahalifu ambao kila kukicha wanaigeuza DAR kuwa their PLAYING GROUND.
THE WAY FORWARD
1. Ndugu Suleiman Kova Ajiuzulu kwani ame prove failure katika kuhakikisha usalama wa raia na mali zao
2. Upekuzi yakinifu ufanyika katika maduka ya spare parts yaliyozagaa pale Karume na Gerezani kujua vifaaa wanavyouza wamevitoa wapi
3.Kwa wenye magari hakikisheni mnaweka alama ama initials kwenye vifaaa muhimu kama taa, vioo na site mirrors. Ingiwa sio suluhisho but linapunguza thamana ya vifaa hivyo kwa atakaeiba
Nakaribisha mawazo yenu kupambana na mtandao huu hatari hapa Jijini.
Nawasilisha