TCleverly
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 1,921
- 871
Nimeufurahia uchambuzi wako. Imeshakua utamaduni sasa kwenda kuvinunua vifaa ulivyoibiwa gerezani. Kunamtu aliridishiwa kila kitu hadi vilivyokuwemo kwenye dash board yaani miwani funguo na documents mbalimbali...kwakua tunaendelea kununua vitu vya wizi "biashara" hii itaendelea
yaani post yangu hapo juu,ni mstari huu