Nimeufurahia uchambuzi wako. Imeshakua utamaduni sasa kwenda kuvinunua vifaa ulivyoibiwa gerezani. Kunamtu aliridishiwa kila kitu hadi vilivyokuwemo kwenye dash board yaani miwani funguo na documents mbalimbali...kwakua tunaendelea kununua vitu vya wizi "biashara" hii itaendelea
scramble
Nilishapeleka taarifa kwa mkuu wa kituo pale Gerezani aliniambia taarifa hizo wanazo na tayari wameanza uchunguzi.....the usual blah blah....kuhusu site mirror ni typing error and its not big issue to me and i am not gona edit it
Nimeufurahia uchambuzi wako. Imeshakua utamaduni sasa kwenda kuvinunua vifaa ulivyoibiwa gerezani. Kunamtu aliridishiwa kila kitu hadi vilivyokuwemo kwenye dash board yaani miwani funguo na documents mbalimbali...kwakua tunaendelea kununua vitu vya wizi "biashara" hii itaendelea
na wenye magari mnachangia wizi kwa asilimia fulani....mnanunua vitu vya wizi,leo nimeibiwa unavinunua wewe,kesho natoa oda anaibiwa mwingine na kuendelea hivyohivyo......mkiibiwa nunueni vipya kwenye duka lenye VAT tuone wakiiba watamuuzia nani.......ulaya magari yanalala barabarani si benz,si bmw na takataka zote zinalala barabarani hawaibi vitu kama taa,side mirror,power window coz hamna mtu ananunua taa za wizi,side mirror barabarani.ikivunjika unaenda dukani au junk yard zinazotambulika unatoa kwenye gari iliokuwa scrapped.....
scramble
Nilishapeleka taarifa kwa mkuu wa kituo pale Gerezani aliniambia taarifa hizo wanazo na tayari wameanza uchunguzi.....the usual blah blah....kuhusu site mirror ni typing error and its not big issue to me and i am not gona edit it
scramble
Are you also part and parcel of the syndicate??? Because you have consumed a lot of energy in launching personal attack rather discussing the issue on the table......cool down man!!!!!!
mbona hilo la kwenda kituo cha polisi gerezani hujaliandika? kwa hiyo unakubaliana na maoni yangu kuwa ulikua ubalance ripoti yako? dogo elewa kuwa hapa jamii forums kuna wasomi japo hatujitangazi. japo na vihiyo wapo ambao kazi yao ni k.u.t.uk.an.a wenzao. unapo sema huto edit neno site mirror mbona nakuona kama umepandwa na jazba!? hupendi kukosolewa? umekamilika? tehtehtehteh! ka nchi haka kana mambo! KAMA KWELI UMESOMA MAREKANI, NAKUAMURU UHARIRI NENO SITE MIRROR. weka SIDE badala ya SITE. usichafue jina la marekani kitaaluma dogo. msomi hawezi kung'ang'ania kosa hata siku moja! badilika! chukua hatua!
Na wewe tuondolee ujinga wako hapa.Kama Jeshi la Polisi wanafanya kazi zao kwa ufanisi na wanaaminika kama unavyojaribu kutuaminisha hapa walikuwa wapi wakati huo huu WIZI wa vifaa vya magari ulipoanza kuonyesha sura yake hapa Jijjni Dar?Mbona unataka kujitoa akili au na wewe ni MDAU sasa unaona jamaa anataka kuwatibulia biashara zenu?The whole system is corrupt in Tz.
Na wewe tuondolee ujinga wako hapa.Kama Jeshi la Polisi wanafanya kazi zao kwa ufanisi na wanaaminika kama unavyojaribu kutuaminisha hapa walikuwa wapi wakati huo huu WIZI wa vifaa vya magari ulipoanza kuonyesha sura yake hapa Jijjni Dar?Mbona unataka kujitoa akili au na wewe ni MDAU sasa unaona jamaa anataka kuwatibulia biashara zenu?The whole system is corrupt in Tz.
Maelezo yako ni mazuri sana, na hakuna ubishi juu ya mambo hayo,
sasa toa mawazo yako nini kifanyike kama ulivo diclare intrest yako.