Muliokuwepo kwa mkapa leo, mtujuze

Muliokuwepo kwa mkapa leo, mtujuze

Kitoabu

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2011
Posts
10,677
Reaction score
11,768
Kuna video clip nimeiona inateand huko FB.

Video hiyo inamuonyesha mtu mmoja alievaa joho jekundu, akichezea kichapo kutoka kwa watu wenye hasira kali tena ni ndani ya uwanja kabisa, alafu kuna sauti inayo sema "pigaaa wachawi hao" na nyingine ikesema, "walikuja kuroga hawa" mpaka sasa bado sijalielewa hili tukio.

Naomba kwa aliyekuwepo uwanjani na alieliona hili tukio atujuze vizuri.

SAMAHANI, video nimeshindwa kui kuichukua.
 
Kuna shabiki wa utopolo alienda kuwarogea Galaxy ili mnyama alale. Amechezea kichapo cha haja, bila shaka naye atakuwa amezimia kama Ali Kamwe
Shabiki wa utopolo ndio avae nguo nyekundu? haiingii akilini.
 
Ni mtu kutoka upande wa wafuga majini alitumwa aje kuharibu shughuli ya mnyama mkali ila ndio ivo tumempe kupigo kweli kweli ili akawaeleze vizuri walio mtuma.
GA-xDTCXgAAF416.jpeg
 
Kuna video clip nimeiona inateand huko FB.
Video hiyo inamuonyesha mtu mmoja alievaa joho jekundu, akichezea kichapo kutoka kwa watu wenye hasira kali tena ni ndani ya uwanja kabisa, alafu kuna sauti inayo sema ..
Ni kawaida makolo kupiga watu na kuwasingizia mara wezi au wachawi
 
Kuna shabiki wa utopolo alienda kuwarogea Galaxy ili mnyama alale. Amechezea kichapo cha haja, bila shaka naye atakuwa amezimia kama Ali Kamwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna video clip nimeiona inateand huko FB.

Video hiyo inamuonyesha mtu mmoja alievaa joho jekundu, akichezea kichapo kutoka kwa watu wenye hasira kali tena ni ndani ya uwanja kabisa, alafu kuna sauti inayo sema "pigaaa wachawi hao" na nyingine ikesema, "walikuja kuroga hawa" mpaka sasa bado sijalielewa hili tukio.

Naomba kwa aliyekuwepo uwanjani na alieliona hili tukio atujuze vizuri.

SAMAHANI, video nimeshindwa kui kuichukua.
Ni YANGA
 
Kolouzdad hawajaanza leo kututia aibu kwenye mashindano ya kimataifa, walishawasha ubani katikakati ya uwanja tena kwenye nchi ya watu
 
Inasemekana Jwaneng hawakupasha kabla mchezo kuna waliochezea kichapo kwa walinzi wa uwanja walikuwa wanafanya maswala ya ushirikina wakapewa kichapo
 
Back
Top Bottom