Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Muliro umeuliza swali la rahisi tu mtu anaruhusiwa vipi kukamata mtu bila polisi? Unakimbilia kuanza kuuliza vifungu.
Kwahiyo maafisa TRA waha haki ya kuarrest mtu? Na wakimkamata wanampeleka wapi? Wana selo kwenye ofisi zao?
Wakuu naomba muongozo hapa maana sheria za TZ kizungumkuti.
Kama ofisa wa TRA anaruhusiwa kukamata mtu bila polisi, si yoyote anaweza kujifanya ofisa wa hapo akafanya mambo yao. Si ni nyinyi polisi mnasema ukija kukamatwa lazima mtu awe ana utambulisho husika?
So, mbali na polisi nani mwingine ana mamlaka ya kukukamata na anatakiwa kuwa na utambulisho gani?
Pia soma: News Alert: - Jeshi la Polisi linawashikilia watu 4 kwa tuhuma za mauji ya Mtumishi wa TRA Amani Simbayao kutoka tukio la Tegeta
Badala ya kucontrol damage unakuja kufokoea watu😂😂, etu anasema hawapigi risasi ovyo ovyo, yule mwanafunzi aliyekufa akijaribu joho risasi kichwani ilimfikiaje?
As long as hakuna majibu yuko wapi Soka, suala la Sativa linaendeleaje, waliojaribu kumteka Mkurugenzi wa Dar 24, Uchunguzi kwa Mafwele anayetumihumiwa kuhusika kwenye utekaji, wananchi wameamua kujilinda!
Muliro umeuliza swali la rahisi tu mtu anaruhusiwa vipi kukamata mtu bila polisi? Unakimbilia kuanza kuuliza vifungu.
Kwahiyo maafisa TRA waha haki ya kuarrest mtu? Na wakimkamata wanampeleka wapi? Wana selo kwenye ofisi zao?
Wakuu naomba muongozo hapa maana sheria za TZ kizungumkuti.
Kama ofisa wa TRA anaruhusiwa kukamata mtu bila polisi, si yoyote anaweza kujifanya ofisa wa hapo akafanya mambo yao. Si ni nyinyi polisi mnasema ukija kukamatwa lazima mtu awe ana utambulisho husika?
So, mbali na polisi nani mwingine ana mamlaka ya kukukamata na anatakiwa kuwa na utambulisho gani?
Pia soma: News Alert: - Jeshi la Polisi linawashikilia watu 4 kwa tuhuma za mauji ya Mtumishi wa TRA Amani Simbayao kutoka tukio la Tegeta
Badala ya kucontrol damage unakuja kufokoea watu😂😂, etu anasema hawapigi risasi ovyo ovyo, yule mwanafunzi aliyekufa akijaribu joho risasi kichwani ilimfikiaje?
As long as hakuna majibu yuko wapi Soka, suala la Sativa linaendeleaje, waliojaribu kumteka Mkurugenzi wa Dar 24, Uchunguzi kwa Mafwele anayetumihumiwa kuhusika kwenye utekaji, wananchi wameamua kujilinda!