Muliro umeuliza swali la rahisi tu mtu anaruhusiwa vipi kukamata mtu bila polisi? Unakimbilia kuanza kuuliza vifungu.
Kwahiyo maafisa TRA waha haki ya kuarrest mtu? Na wakimkamata wanampeleka wapi? Wana selo kwenye ofisi zao?
Your browser is not able to display this video.
Wakuu naomba muongozo hapa maana sheria za TZ kizungumkuti.
Kama ofisa wa TRA anaruhusiwa kukamata mtu bila polisi, si yoyote anaweza kujifanya ofisa wa hapo akafanya mambo yao. Si ni nyinyi polisi mnasema ukija kukamatwa lazima mtu awe ana utambulisho husika?
As long as hakuna majibu yuko wapi Soka, suala la Sativa linaendeleaje, waliojaribu kumteka Mkurugenzi wa Dar 24, Uchunguzi kwa Mafwele anayetumihumiwa kuhusika kwenye utekaji, wananchi wameamua kujilinda!
Hakuna binadamu mwenye akili timamu akaelewa kwanini maafisa wa TRA walienda kumkamata raia saa 5 usiku bila usaidizi wa Polisi, aliua? Alikuwa na jinai gani? Gari ipo barabarani miaka zaidi 4 na analipa mpaka faini. Mbegu mlizopanda acha ziendelee kuota, malipo ni hapa hapa. 🤝
Hakuna binadamu mwenye akili timamu akaelewa kwanini maafisa wa TRA walienda kumkamata raia saa 5 usiku bila usaidizi wa Polisi, aliua? Alikuwa na jinai gani? Gari ipo barabarani miaka zaidi 4 na analipa mpaka faini. Mbegu mlizopanda acha ziendelee kuota, malipo ni hapa hapa. 🤝
Yaani hata iweje ilibidi escort ya polisi iwepo, kama utaratibu umebadilika na afisa yoyotr anaweza kukamata mtu basi kuna kazi na huu utakuwa mwanzo tu
Muliro umeuliza swali la rahisi tu mtu anaruhusiwa vipi kukamata mtu bila polisi? Unakimbilia kuanza kuuliza vifungu.
Kwahiyo maafisa TRA waha haki ya kuarrest mtu? Na wakimkamata wanampeleka wapi? Wana selo kwenye ofisi zao?
Wakuu naomba muongozo hapa maana sheria za TZ kizungumkuti.
Kama ofisa wa TRA anaruhusiwa kukamata mtu bila polisi, si yoyote anaweza kujifanya ofisa wa hapo akafanya mambo yao. Si ni nyinyi polisi mnasema ukija kukamatwa lazima mtu awe ana utambulisho husika?
So, mbali na polisi nani mwingine ana mamlaka ya kukukamata na anatakiwa kuwa na utambulisho gani?
As long as hakuna majibu yuko wapi Soka, suala la Sativa linaendeleaje, waliojaribu kumteka Mkurugenzi wa Dar 24, Uchunguzi kwa Mafwele anayetumihumiwa kuhusika kwenye utekaji, wananchi wameamua kujilinda!
Wito ni kwamba polisi wameshupaza shingo hivyo raia waendelee kujilinda na ukiona watu wasioeleweka wanakuvamia wewe piga kelele kwamba unatekwa ili upate msaada wa raia wema.
Kumbe kama linajulikana hivyo, kwa nini huyo wa TRA ?
Ni kweli waliokamatwa ndio walioua?
Kama wameweza kwa muda mfupi kuwakamata waliomuua afisa wa TRA, Mbona wengine waliouwawa hatujasikia waliwaua wamekamatwa?
Wakuu naomba muongozo hapa maana sheria za TZ kizungumkuti.
Kama ofisa wa TRA anaruhusiwa kukamata mtu bila polisi, si yoyote anaweza kujifanya ofisa wa hapo akafanya mambo yao. Si ni nyinyi polisi mnasema ukija kukamatwa lazima mtu awe ana utambulisho husika?
So, mbali na polisi nani mwingine ana mamlaka ya kukukamata na anatakiwa kuwa na utambulisho gani?
As long as hakuna majibu yuko wapi Soka, suala la Sativa linaendeleaje, waliojaribu kumteka Mkurugenzi wa Dar 24, Uchunguzi kwa Mafwele anayetumihumiwa kuhusika kwenye utekaji, wananchi wameamua kujilinda!
Je, Watu hao kweli walikuwa Ni Maafisa wa Forodha wa TRA au Undercovers wa Abduction Squad ambao wamekuwa infiltrated ndani ya TRA ili to conceal their real identities in their illicit activities??? Siyo kwamba hivyo vyeo vya huko TRA vinatumika tu kama 'Cover' ya hizo kazi zao za Siri?
Siyo kwamba hilo lilikuwa jaribio la utekaji lililofeli? Not a failed attempt of abduction?