Muliro mkiendelea kushupaza shingo mjue tu hali itazidi kuwa mbaya, kwa akina Soka na Sativa mko kimya hadi leo halafu mnakuja na vitisho!

all criminals must be accountable against their proven crimes.

and most of them belongs to jail 🐒
 
TRA,UHAMIAJI,POLISI,TAKUKURU wanapenda sana vya kunyonga
Siku nyingine ntakuja na uzi wa uhamiaji
 
Nchi yetu serikali ndio sheria.... nakumbuka kuna mawaziri waliapa kabla ya kula kiapo cha ubunge, wakati tunaambiwa waziri inabidi awe mbunge!
 
Yaani hata iweje ilibidi escort ya polisi iwepo, kama utaratibu umebadilika na afisa yoyotr anaweza kukamata mtu basi kuna kazi na huu utakuwa mwanzo tu
TRA walitaka kumtoa hela tu huyo
Rushwa rushwa pesa mbele

Ova
 
Nchi yetu serikali ndio sheria.... nakumbuka kuna mawaziri waliapa kabla ya kula kiapo cha ubunge, wakati tunaambiwa waziri inabidi awe mbunge!
katiba ni kijitabu tu
nani alitoa kauli hii?😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…