Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah mwamba anasema tangu kipindi cha Daudi na Solomon hadi sasa Israel wanatumia majini na sayansi ya nyota katika harakati zao za kivita.
Msikilize zaidi katika video.
HahahahahahahahaNi huzuni bado imetawala hapa mwembe mtengu baada ya kifo cha kipenzi chetu Nasrallah mbaya zaidi hata tukiona chokoleti madukani tunakimbia we ule mbomu una balaa badala ya kumwaga moto ulimwaga hewa la chokoleti mji mzimaa
Kwa maana mimi sio tapeli kama ww
Wameshiwa mbinu hao watakuja na kila sababu,Hahaha mwamba anasema tangu kipindi cha Daudi na Solomon hadi sasa Israel wanatumia majini na sayansi ya nyota katika harakati zao za Kivita.
Msikilize zaidi katika video.
Kwamba waarabu wanasalitiwa na ndugu zao wa damu!?
Hivi kati ya Torah, Biblia na Quran ipi inatumika kuita majini ? 😂 😂 😂 😂 😂Hahaha mwamba anasema tangu kipindi cha Daudi na Solomon hadi sasa Israel wanatumia majini na sayansi ya nyota katika harakati zao za Kivita.
Msikilize zaidi katika video.
Wao Waislamu hushirikiana na Majini ambao mbele ya Elliens hawaoni ndani kwa akili.Hahaha mwamba anasema tangu kipindi cha Daudi na Solomon hadi sasa Israel wanatumia majini na sayansi ya nyota katika harakati zao za Kivita.
Msikilize zaidi katika video.
Inasikitisha, kwamba waja wenzao wa allah wamewageuka? Wamemsaliti allah Muumba wao kwa kuwafeuka ndugu zao katika imani?Hahaha mwamba anasema tangu kipindi cha Daudi na Solomon hadi sasa Israel wanatumia majini na sayansi ya nyota katika harakati zao za Kivita.
Msikilize zaidi katika video.
AhhahahahahahInasikitisha, kwamba waja wenzao wa allah wamewageuka? Wamemsaliti allah Muumba wao kwa kuwafeuka ndugu zao katika imani?
Wamwambie sharif majini au dr. Sule atume majini mazuri aliyonayo waende wasaidia kupambana huko Lebanon.