ABTWAHILAKILIMALI
Member
- Jan 10, 2015
- 78
- 27
Zifuatazo ni sababu kwanini mimi nafanya biashara ya Mtandao na sio biashara ya kizamani. Karibu sana katika biashara hii ya karne ya ishirini na moja;
Hii ni biashara ambayo utaingia ubia na kampuni ambayo tayari imesha jiimarisha kiuchumi na kuanza kutumia jina la kampuni kwa kutumia bidhaa zake na kuanza kuweka hisa.
Hapa ndipo utalipwa kulingana na jitihada zako! Mwajiliwa ukitoka saa sita usiku from morning mwajiri hilo hatambui but huku kila mtu analipwa kulingana na nguvu kazi zako.
Ukijituma pesa ya mchakato inaingia;
1. Utalipwa kulingana na juhudi zako kibiashara
2. Huwezi kufirisika kwani ASSET zako ni watu. Mfano hivi unafikili kampuni km vodacom itafirisika?
Unapomiliki asset watu hata siku moja huwezi kufirisika mpendwa.
3. Biashara ikikudodea wewe watu wa mikoa mingine ambao upo nao ubia huko itakuwa imepamba moto. Sasa kwa nini ulale njaa.
4. Unaweza kuirithisha kizazi na kizazi
5. Hulipi ushuru kwani kampuni ndiyo inayo husika kulipa ushuru huo wa mauzo kwani wewe ni daraja kati ya kampuni na mteja na kampuni inakujali kwa hilo.
6. Huwezi kuibiwa na mtu mauzo yako kwani pesa yako ipo kwa watu sasa atakuibiaje huyo ndugu yako?
7. Huna haja ya kutengeneza ofisi kwani ofisi ya kampuni ni ofisi yako. Kwa nini uingie gharama? Km unatengeneza ni kwa manufaa yako.
8.Ni virahisi kujitanua kwenda mikoani. Jiulize wewe leo hii biashara yako isambae hata mikoa mitano uendeshaji wake utakuwaje? Utalia rafiki na usijaribu . lakini kupitia biashara hii ya mtandao unaweza kumiliki na kusambaza biashara yako tanzania nzima na dunia nzima bila gharama yoyote kabisa.
10. Utamiliki watu wengi na hawo watu wote watakaofanya biashara kupitia kampuni watalipwa na kampuni yako.
11. Biashara yenye future.
12.Utafurahia pesa unayoitafuta kwani unaweza kusafiri kwenda uswisi kama umeacha team hata ya watu 100 ukirudi baada ya miezi sita utakuta mia tatu pesa inaingia tu.
13. Utaweza kujipatia mtaji mkubwa na kufungua taasisi au kampuni yako kulingana na ndoto zako. Hivyo hii biashara inakuwa kama chombo chako kuelekea mafanikio unakuwa unavuna pesa unawekeza kwenye traditional business kama chuo, hospital, maduka ya nguo, saloon za kisasa, clinics na n.k.
Haya yote ndani ya Neptnus, unaanza kutimiza ndoto hizi kwa Tshs 26,000/=.
Hii ni biashara ambayo utaingia ubia na kampuni ambayo tayari imesha jiimarisha kiuchumi na kuanza kutumia jina la kampuni kwa kutumia bidhaa zake na kuanza kuweka hisa.
Hapa ndipo utalipwa kulingana na jitihada zako! Mwajiliwa ukitoka saa sita usiku from morning mwajiri hilo hatambui but huku kila mtu analipwa kulingana na nguvu kazi zako.
Ukijituma pesa ya mchakato inaingia;
1. Utalipwa kulingana na juhudi zako kibiashara
2. Huwezi kufirisika kwani ASSET zako ni watu. Mfano hivi unafikili kampuni km vodacom itafirisika?
Unapomiliki asset watu hata siku moja huwezi kufirisika mpendwa.
3. Biashara ikikudodea wewe watu wa mikoa mingine ambao upo nao ubia huko itakuwa imepamba moto. Sasa kwa nini ulale njaa.
4. Unaweza kuirithisha kizazi na kizazi
5. Hulipi ushuru kwani kampuni ndiyo inayo husika kulipa ushuru huo wa mauzo kwani wewe ni daraja kati ya kampuni na mteja na kampuni inakujali kwa hilo.
6. Huwezi kuibiwa na mtu mauzo yako kwani pesa yako ipo kwa watu sasa atakuibiaje huyo ndugu yako?
7. Huna haja ya kutengeneza ofisi kwani ofisi ya kampuni ni ofisi yako. Kwa nini uingie gharama? Km unatengeneza ni kwa manufaa yako.
8.Ni virahisi kujitanua kwenda mikoani. Jiulize wewe leo hii biashara yako isambae hata mikoa mitano uendeshaji wake utakuwaje? Utalia rafiki na usijaribu . lakini kupitia biashara hii ya mtandao unaweza kumiliki na kusambaza biashara yako tanzania nzima na dunia nzima bila gharama yoyote kabisa.
10. Utamiliki watu wengi na hawo watu wote watakaofanya biashara kupitia kampuni watalipwa na kampuni yako.
11. Biashara yenye future.
12.Utafurahia pesa unayoitafuta kwani unaweza kusafiri kwenda uswisi kama umeacha team hata ya watu 100 ukirudi baada ya miezi sita utakuta mia tatu pesa inaingia tu.
13. Utaweza kujipatia mtaji mkubwa na kufungua taasisi au kampuni yako kulingana na ndoto zako. Hivyo hii biashara inakuwa kama chombo chako kuelekea mafanikio unakuwa unavuna pesa unawekeza kwenye traditional business kama chuo, hospital, maduka ya nguo, saloon za kisasa, clinics na n.k.
Haya yote ndani ya Neptnus, unaanza kutimiza ndoto hizi kwa Tshs 26,000/=.