Multibillion rail project connecting SGR to Uganda border approved

Heading ingefaa kuwa multi peanut rail project to suit the narrative of our one and only MK254 🙂
 
[emoji3][emoji38][emoji16][emoji23][emoji1787]
I can now see, your jab has reached kunako.
We jamaa kumbe unaumia jamani, unataka kutupangia sisi vile tutakavyotumia pesa za walipa kodi[emoji1787][emoji1787]
 
We jamaa kumbe unaumia jamani, unataka kutupangia sisi vile tutakavyotumia pesa za walipa kodi

Narudia tena
Anayeumia ni huyu hapa. Soma vizuri hii para 3 of the article.

👇🏽👇🏽👇🏽

The burden shifted to Kenyan taxpayers after the government was not able to secure the multibillion loan from China to kickstart extend the SGR line to Kisumu.
 

Nimeshakuambia mara nyingi uhudhurie darasa la kingereza hapo Buza, itakusaidia sana kwenye kutafsiri taarifa za nje ya Tanzania, ili uache hizi tabia za kuteseka na kubwabwaja hovyoo.....dayaspora wa Buza hehehe
 
Kwn hutaki pesa za walipa kodi zijengewe[emoji1787][emoji1787]
We mpuuzi nini, ama huelewi kingereza..
Pia vile vile swala la kukopa lipo pale pale

Kingereza huwa kinawapa tabu sana hawa.
 
Kingereza huwa kinawapa tabu sana hawa.
Mpuuzi hyo jamaa, nilisoma comment yako hko juu ukimwambia km haelewi kingereza..lkn tatizo sikujua km unamwambia kw maana gani, baada ya kwenda nae vizuri ndio nikakuta anarudia rudia post moja inayosema tunajenga kw kodi zetu..sasa nikashangaa kwn tatizo liko wapi kumbe kuja kushikanisha jamaa anatafsiri kivyake ile post
 
Hoja kwishaa[emoji1787][emoji1787]
Hutaki tukope na pia vile vile hutaki tutumie pesa za walipa kodi, tafuta kenge ukambusu labda akili zako zitarudi.
 
Mimi kama mkenya hii nchi imekwisha ni aibu.

Furushi ambalo mchina amelipiga tekee ujue limeoza, kenya yetu leo haikopesheki/ pesa yote uhuru na vijukuu vyake ndio wanatafuna.
Gharama ya hako ka mradi ni aibu hata kusimama kuzungumzia, wangefanya tu kimya kimya, .Hiyo pesa hata jirani yetu magufuli anaweza kutusaidia kama ruzuku ndani ya siku moja.
Kiufupi kenya tumekwisha.
 

Hawa nilishakata tamaa ya kujadili nao hoja yoyote inayohitaji matumizi ya ubongo, tatizo wao walivyozoea kuchambana vijiweni ndivyo huja humu wakitegemea mipasho, yaani mtu anabwabwaja chochote, hajasoma na kuelewa nini kinazungumzwa kuhusu, anatiririka tu, aidha kingereza kinawatesa sana.
 
Hiko kiiingereza simkiambie kiwape mikopo, kama ni cha muhimu sana, kifupi nyie hakuna lugha mnafahamu vizuri (swahili,English) vyote mnaboronga,.labda mjisifie kijaluo.
 
Hiko kiiingereza simkiambie kiwape mikopo, kama ni cha muhimu sana, kifupi nyie hakuna lugha mnafahamu vizuri (swahili,English) vyote mnaboronga,.labda mjisifie kijaluo.
Kwn weye hujisifii kisukuma
 
Wape hi kenge wa chato
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…