Multibillion rail project connecting SGR to Uganda border approved

Multibillion rail project connecting SGR to Uganda border approved

Wewe usiwahi kunimention. Nimeona uko na ujinga sana. Sina muda na watu wajinga.
Povu la kupewa nondo zenye ukweli! Hata video ya project launch ipo! Kiir n late Zenawi walihudhuria wakikaribishwa na Kibaki! Lamu port is in its 11th year not done!
 
Kshs 3.7 bln is equivalent of Tshs 74 bln which is around $32 mln! That's peanuts! Tanzania will sign another SERVER project in July after the US$ 1.3 bln for Mwanza-Isaka signed in January!
Hata ECOP limesainiwa na kuzinduliwa mara nyingi Sana utekelezaji hakuna

The same to Dar Moro sgr segment hsiishagi
 
Povu la kupewa nondo zenye ukweli! Hata video ya project launch ipo! Kiir n late Zenawi walihudhuria wakikaribishwa na Kibaki! Lamu port is in its 11th year not done!

Screenshot_20210213-093254.jpg
Screenshot_20210213-093258.jpg
 
Inakuwaje project ikawa launched kabla tena on invitation of two presidents? Au mnatufanya sie wajinga?
2012 lapsset project plan was launched. (Plan includes construction of railways, pipelines e.t.c) Also construction of Lapsset HQ offices and police station was launched on the same day by Pres Kibaki and other presidents.

2016 construction of Lamu port berths 1,2 and 3 and dredging works was launched by Pres Uhuru.

Screenshot_20210213-093254.jpg
Screenshot_20210213-093258.jpg



Hii kampuni ya Kichina ilisign contract ya kujenga hizo berths tatu mwaka wa 2014. Soma number 2 kwenye hio list hapo juu. So hio 2012 unayodanganya watu nayo hata contractor hakuwa amepatikana.
Halafu baada ya hio contract kusainiwa 2014, Enivironmental impact assesment ikaanza kufanywa hio 2014 na pia kampuni hii ya kichina ikaanza kufanya detailed engineering studies ya the 3 berths in 2014. Baada ya EIA kutoka na baada ya detailed engineering studies kukamilika na baada ya contractor kumobilise equipments on site (6 months mobilisation) ujenzi ukaanza mwaka wa 2016.
 
2012 lapsset project plan was launched. (Plan includes construction of railways, pipelines e.t.c) Also construction of Lapsset HQ offices and police station was launched on the same day by Pres Kibaki and other presidents.

2016 construction of Lamu port berths 1,2 and 3 and dredging works was launched by Pres Uhuru.

View attachment 1702049View attachment 1702050


Hii kampuni ya Kichina ilisign contract ya kujenga hizo berths tatu mwaka wa 2014. Soma number 2 kwenye hio list hapo juu. So hio 2012 unayodanganya watu nayo hata contractor hakuwa amepatikana.
Halafu baada ya hio contract kusainiwa 2014, Enivironmental impact assesment ikaanza kufanywa hio 2014 na pia kampuni hii ya kichina ikaanza kufanya detailed engineering studies ya the 3 berths in 2014. Baada ya EIA kutoka na baada ya detailed engineering studies kukamilika na baada ya contractor kumobilise equipments on site (6 months mobilisation) ujenzi ukaanza mwaka wa 2016.
Media yenyu imesema vingine!
 
Media yenyu imesema vingine!
Media yetu ipi? Hii NTV inayokiri kwamba ujenzi wa gati tatu bado haujaanza mwaka wa 2015 Mei? Kuna hii video ya NTV nakuwekea utazame na video ni ya Mei 2015. Na kwenye video NTV inaonyesha wazi mahali ambapo gati inastahili kujengwa na unaweza kuona kwamba ujenzi bado haujaanza. Mahali hapo ni empty hata contractor hayuko kwenye site.




Tazama jinsi eneo ambalo gati linastahili kujengwa jinsi ni empty in 2015. Hata contractor hayuko na ujenzi bado haujaanza
Screenshot_20210214-100403.jpg
Screenshot_20210214-100410.jpg
Screenshot_20210214-100414.jpg


Na kama bado unapinga kwamba hii video ni ya 2015, tazama hapa chini
16132866632596664.png


Mzee kama huna facts usiwe unapingana na mimi.
 
Huu ndio utopolo niliokuwa namaaisha, hakuna lugha mwaijua kiufasaha labda kijaluo,. Na mnakoelekea itabidi muweke tigo rehani. Kama dhamana ya kuchukua mkopo,
Mjaluo ni haki yake kujua kijaluo kw ufasaha zaidi kuliko kiswahili[emoji1787]

Nakuuliza tena, kwn weye hujisifii kisukuma[emoji2960][emoji2960]
 
Media yetu ipi? Hii NTV inayokiri kwamba ujenzi wa gati tatu bado haujaanza mwaka wa 2015 Mei? Kuna hii video ya NTV nakuwekea utazame na video ni ya Mei 2015. Na kwenye video NTV inaonyesha wazi mahali ambapo gati inastahili kujengwa na unaweza kuona kwamba ujenzi bado haujaanza. Mahali hapo ni empty hata contractor hayuko kwenye site.




Tazama jinsi eneo ambalo gati linastahili kujengwa jinsi ni empty in 2015. Hata contractor hayuko na ujenzi bado haujaanza
View attachment 1702058View attachment 1702059View attachment 1702061

Na kama bado unapinga kwamba hii video ni ya 2015, tazama hapa chini
View attachment 1702082

Mzee kama huna facts usiwe unapingana na mimi.

Unataka facts za project launch with a placard?
 
Unataka facts za project launch with a placard?
Nimekupa video inayoonyesha kuwa by 2015 mradi haukuwa umeanza. Nini ingine unataka? Umeshashindwa debate. Tulia, ukishindwa kubali.
 
Huu ndio utopolo niliokuwa namaaisha, hakuna lugha mwaijua kiufasaha labda kijaluo,. Na mnakoelekea itabidi muweke tigo rehani. Kama dhamana ya kuchukua mkopo,
Unazungumza ni kama una ujuzi mkubwa sana wa kuweka tigo kwenye rehani? Wanaume wangapi wamepita na tigo lako?
 
Nimekupa video inayoonyesha kuwa by 2015 mradi haukuwa umeanza. Nini ingine unataka? Umeshashindwa debate. Tulia, ukishindwa kubali.
Mradi kuanza si ndo official launch ya Kibaki, Kiir na late Zenawi?
 
Nimeshakuambia mara nyingi uhudhurie darasa la kingereza hapo Buza, itakusaidia sana kwenye kutafsiri taarifa za nje ya Tanzania, ili uache hizi tabia za kuteseka na kubwabwaja hovyoo.....dayaspora wa Buza hehehe

😀😆😁
Ze kenyaz level of thinking. Only own source revenue is taxpayers burden, but the loan is defined as a free lunch. Poleni wakenya. Uzuri hamna mtu atakayewakopesha hela kwa ajili ya hiyo project. Kama kiingereza shida ask someone to digest for you. 😀😆😁🤣😂
 
Mradi kuanza si ndo official launch ya Kibaki, Kiir na late Zenawi?
Tunarudi pale pale kwa debate yako na joto la jiwe kuhusu project management phases. Ujenzi wa mradi unaanza lini?
A) pale ambapo plan au concept au manifesto inapozinduliwa (project planning phase)
Au
B) Pale ambapo contractor anapowasili kwenye site na kuanza ujenzi (yaani construction phase).
Joto alikuwa anasema kuwa ujenzi unaanzia rasmi kwa project planning phase. Yaani tatizo ya hili wazo ni kwamba tukilifuatilia kwa ukamilifu itatubidi tuseme kwamba ujenzi wa EACOP ulianza miaka miwili iliopita maana japo contractor bado hajafika kwenye site bali planning ilishaanza na hata Environmental Impact assesment imeshafanywa na land compensation imeshafanywa.
Wewe kwa upande mwingine ulikuwa unasema kwamba ujenzi wa mradi unaanza tu pale contractor anapoanza ujenzi.
Sasa umebadilisha msimamo. Wewe jua tu ikiwa ujenzi wa Lamu port berth 1,2 na 3 ulianza 2012 basi ujenzi wa EACOP nao ulianza 2017.
images.jpeg
 
Hoja kwishaa[emoji1787][emoji1787]
Hutaki tukope na pia vile vile hutaki tutumie pesa za walipa kodi, tafuta kenge ukambusu labda akili zako zitarudi.

😂🤣😂
Uwezo wa kufikiri. Kwa hiyo mkopo siyo pesa ya walipa kodi???
😀😁😆
Ambaye linamuhusu ni huyu hapa
👇🏽👇🏽👇🏽

The burden shifted to Kenyan taxpayers after the government was not able to secure the multibillion loan from China to kickstart extend the SGR line to Kisumu.
 
😀😆😁
Ze kenyaz level of thinking. Only own source revenue is taxpayers burden, but the loan is defined as a free lunch. Poleni wakenya. Uzuri hamna mtu atakayewakopesha hela kwa ajili ya hiyo project. Kama kiingereza shida ask someone to digest for you. 😀😆😁🤣😂
Kingereza babu, kapate darasa la kingereza maana umechanganyikiwa unaandika andika tu haujui unapinga nini...hehehehe!!! Huwa unachekesha....
Hebu ona mlivyo, hamjui mchague ipi full kuchanganyikiwa Tujikite kwenye Kiswahili au tujifunze lugha zakimataifa?
 
Back
Top Bottom