witacha matiku
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 722
- 237
baada ya uhuni wa HESLB kuandikia watu vitu vya ajabu mf.wale wa diploma na pia hawa wa direct entry(form six) kuwa incomplete form application huku wakisahau kuwa walitoa majina ya waliokosea na kuna walioenda kuweka sawa ila kwa xaxa nao incomplete form application so huu ndio uhuni gani na hadi kuanza kuandika reason kama umekosa ni dhuluma tu wamekuja na sababu zao za kihuni hii yote ni baada ya kuona tumeanza kwenda hadi kwa Waziri mkuu na pesa wameweka kwenye miradi yao tayari wanataka watumie mbinu za kitoto kukatisha watu tamaa ila baada ile hali binafsi nilichukuwa uamuzi wa kumtafuta Mh Mulugo na Mkurugenzi wa Elimu ya juu nikawambia kuhusu mbinu chafu kama hizi wakadai watafuatilia kujua ukweli wake na jana niliongea nao binafsi ninachokiona ni siasa chafu ktk suala hili la watu waliokosa mkopo lakini hata kama HESLB imefanya huo uhuni bado jana jioni niliwambia j3 kama kawaida tutaenda wizarani tupewe utaratibu wa kwenda vyuoni kwani ndio makubaliano tuliyofikia kule kwa Waziri mkuu,enjoy