Mulugo vs J. Mhagama.

DZUDZUKU

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2012
Posts
3,909
Reaction score
2,115
Jenista Mhagama amechukua nafasi ya Mulugo, je substitution hii ni super sub?
 
Hhyu mama kidogo anaahueni na anaweza kuunganisha muungano uliozaa tanzania kuwa ni tanganyika na zanzibar na siyo zimbwabwe na pemba
 
kwa upande wangu c dhani kama ana ule uthubutu wa kukemea mambo!!!kwani muda mwingi huwa naona ni mtu wa kulalamika tu na ukizingatia na ile sauti yake,sitegemei utofauti wowote mkubwa na mulugo.
 
Mhagama ndo anawakilisha Ruvuma baada ya Nchimbi,si unajua JK anachagua kikanda
 
Tofauti ni kwamba mlugo ni kilaza huyu mama angalau ana uelewa wa mambo.
 
Kuna baadh ya siku huyu mama alikuwa anakaa kitu cha spika na kuongoza bunge, mulugo angeweza asiyejua hata maana ya supplimentary chuoni..tehe tehe, kwa mtazamo anaonekana anaweza kuwa bora ila tusubili tuone maana uko wa panya walewale..
 
Mhagama ndo anawakilisha Ruvuma baada ya Nchimbi,si unajua JK anachagua kikanda

kwa maoni yako, unamaanisha JK amemchagua kwa sababu za ukanda na sio uwezo wake?
 
kwa upande wangu c dhani kama ana ule uthubutu wa kukemea mambo!!!kwani muda mwingi huwa naona ni mtu wa kulalamika tu na ukizingatia na ile sauti yake,sitegemei utofauti wowote mkubwa na mulugo.

Amepewa kazi kubwa kweli, maana naibu waziri anashikilia kindagate mpaka six, sehem ambayo inaangaliwa na wa Tz wengi.
 
Hhyu mama kidogo anaahueni na anaweza kuunganisha muungano uliozaa tanzania kuwa ni tanganyika na zanzibar na siyo zimbwabwe na pemba

Hili suala la muungano ndilo lililo mharibia kila kitu Mulugo maana baada ya hapo wa Tz walimsakama kweli.

Huwezi jua labda mama atakuja na muungano mpya.
 
Nje ya Mada tafadhari kuna mtu anaweza nidhibitishia kuwa Raisi wetu kwa sasa yupo nchini???
πŸ˜›ray:πŸ˜›ray:πŸ˜›ray:πŸ˜›ray:
 
Nje ya Mada tafadhari kuna mtu anaweza nidhibitishia kuwa Raisi wetu kwa sasa yupo nchini???
πŸ˜›ray:πŸ˜›ray:πŸ˜›ray:πŸ˜›ray:
Yupo DAVOS, Switzerland Tangu asubuhi ya leo.
 
Mhe. Rais ameona anaweza mi namwamini na nyie aminini
 
Nje ya Mada tafadhari kuna mtu anaweza nidhibitishia kuwa Raisi wetu kwa sasa yupo nchini???
πŸ˜›ray:πŸ˜›ray:πŸ˜›ray:πŸ˜›ray:

Nlisikia kamuozesha mtoto wake juzijuzi, labda kaenda msindikiza mwanae hanemuni-Jk ni mtu wa starehe.....
 
Bora ya Mulugo alikuwa mchapa kazi.

Mi mwenyewe naamini Mulugo alikuwa mchapa kazi, kilicho muangusha ni muungano wa Zimbabwe na Pemba kutengeneza Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…