Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Sio kampeni huu ndio ukweli. Alafu sijataja sura personal hayo ni yako [emoji23]
Wee toto zuri weka ndani ukilionantuu lonapota pota hapo na khanga unataka kulivua uanze kulamba mbususu. Mwanamke anatakiwa kiwansexy kama huyo mrembo yaanni hapo mbooo juu juu tuu.

Hao wenye sura personal bado utaweka ndani na kitombwer ata tombwer tuu.
 
Mtoto akizaliwa wa kike,mnasema miliki bastola ama mbwa mkali....yote inapumbaza jamii kudhani mwanamke ni expensive item hivyo should be protected at all costs,

Najua ni utani, ila inamjengea mwanaume attitude ambayo jinsi anavyokua ndivyo inavyozidi kujiwekea mizizi ndani ya mind/kichwa chake, kuwa mwanamke lazima awe analindwa muda wote against wanaume wengine a.k.a mafisi...

Hivyo,Mtu(mwanaume) haoni tabu kumpiga mtu bastola, anayekaribia sio tu mke wake, bali dada, mtoto wake wa kike etc...

Ukiangalia yote ni mizizi/perceptions zimekua cultivated in his mind na jamii, kuwa mwanamke ni thamani hivyo ni kama mali inayotakiwa kulindwa kwa nguvu zote,,,,,,

Hatujui attitudes tunazowajengea vijana wetu zina promote culture of violence!

Sababu wanaume wanaamua not literally kumiliki vibastola ...yes i said vibastola 😁😁😁😁.......

We need to stop by changing/not promoting attitudes kuwa wanawake ni wa thamani since both wanawake na wanaume ni wa thamani, ona sasa, two souls are now gone, hatujui wangapi wanauwawa na 'mbwa mkali' ama 'bastola' and go unreported 😇😇 ..hii ime catch headlines because shosti alikuwa 'pisi kali'...

Ila Nimeshangazwa na jinsi wanaume humu mlivyomuhukumu dada wa watu kwa kuhalalisha kuuwawa kwake....

Yaani ingekua kama ni hukumu then dada wa watu angeuwawa.....

Labda ni kweli huwa anajiachia, ila unajuaje on that particular night aliyouwawa ni kweli she was innocent,kuwa alienda kwenye show ya Diamod just to have a good time na mashosti zake..?.....mnhhhh

Bye the way mmmemsifu huyo mwanaume, ila he was a weakest being and he must had low self-esteem ama insecurities issues ( ambazo kama unajijua unazo kwa nini unaoa mwanamke ambaye ni mzuri and you dont feel safe/secured in her?),

wewe mwanaume kama ni weak na unaona bastola ni added security dhidi ya wanaume wenzio....then poleeeeeeeeeeeeeeee maana hujui kumiliki bastola+ una insecurities+ una mke mzuri ni kama kujivika mabomu kutegemea yasilipuke...

Ofcourse sisi wanawake ni wa thamani, and yes tunatakiwa tulindwe kwa nguvu zote!!!!

BYE!
 
Sawa mzee wa mbususu [emoji23][emoji23]
 
Duhh!! Hujampa hata kabiashara tu hapo hapo nyumbani?
Mbinu ninayofanya ni kumpa hela hela kila mwezi nje ya matumuzi yake kwa kigezo cha kwamba ana nitunzia na siku moja nitazitaka.... "Mama fulani kuna hela nakuwekea uitunze nitakuomba sikumoja". Mwezi huu unampa labda 300K next labda 500K au 450K sometimes hata 600K kabisa, kulingana na ninavyojisikia tu.

Hii inasaidia asiwe mfuja mali kwakua anajua nimempa anitunzie, kumbe me ndo nampa mazima hivyo.


Nafanya hivyo kwasababu nilishajaribu kumfungulia bakiashara kadhaa ila anashindwa kuziendeleza.

NB: Bora hivi kuliko nikose huduma zangu za kuume kwa mwanamke eti kisa yupo kazini anatumwa na wanaume wengine kwa mshahara wa 300K au 400K.

KINACHONIMALIZA MIMI NI BETTING (KAMARI)
 
Kwa wewe ambae unapiga na kusepa haina shida , nawazungumzia waoaji waangalie na wanawake wa kuoa sio kila mwanamke ni wa kuweka ndani.
Sasa hiyo Mwanamke wa kuweka ndani utamjuwaje kabla hujaishi nae!!?? Mapenzi ya mbali Mtu anauwezo Mkubwa sana wa ku pretend,lakini ukisha ishii nae kadri muda unavyozidi kwenda na ndiyo tabia halisi ya Mtu huwonekana, Kama ni kimeo au laa!!??

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza marehemu Said alikuwa kolo Sana,Hana exposure,yaani akajua hapa duniani huyo swala ndio mwisho hakuna wanawake wengine!..na Nyie wanaume wa humu wote mnajifanya kumsupport Said hamna exposure Kama marehemu...Maisha Ni zawadi nzuri tuliyopewa huwezi poteza uhai wako kisa mtu wakati Kuna mamilioni ya watu ulimwenguni,,eti alikuwa anampa hela kwa hela gani Bwana za kumtoa mtu uhai?kwa hiyo mitumbwi ya mbao?Sasa Kama issue Ni uchungu wa pesa Bill gate itabidi atumie Nukes
 
Watu wakimya hawafai kabisa wanarundika mavitu moyoni hawasemi siku ya siku yanatokea kama yaliyotokea.
Watu wa kimya wanajua kupenda,they don't fake love,when they have fallen in love with someone they mean it,huwa hawaigizi mapenzi,kwa hiyo wewe kama hujaamua kuolewa na kuwa mke unaejitambua wa kuishi kama mke wa mtu ni vizuri ukakaa nao mbali...
 
Kwa hela gani na Nyie msitutetemeshe jamani!hebu fikiria hapo kwenda kumpokea tu huko igombe sijui Swalha anashindwa kwa kuwa gari haina mafuta Sasa hela gani mnazozungumzia?ukute usafiri wake Wenyewe ulikuwa IST au Raumu,....Huyo kolo alikuwa ana matatizo ya afya ya akili.
Umeshajua mwanamke Malaya piga chini.
 
Yaonekana kaka alioa ila mwanamke hana mapenzi nae

Mana kitete nnachokua nacho kumpikia mtt wa mama mkwe hata chai tu ili kumfurahisha sio cha nchi hii
kuna ka feeling flan mke unakapata pale unapoambiwa nipikie nije kula😆😆

wallahy, unajihisi we ni mwanamke special

utawahi sokoni chap, uje ukae jikon mwenyewe...

lkn ndo hvyo watu tunatofautiana
 
Nyinyi kuzitafuta hamuwezi ila za kupewa na watu wanaovuja jasho lao mnapokea meno yote nje afu unaziita "hela gani".?

Wanawake wengi humu Jf hawana hata uhakika wa kuingiza 10k tu kwa siku, na hata wanaoweza wengi wao unakuta ni kwa shughuli za kijinga au unakuta wanategemea wanaume wao , ila ndo hawahawa eti hawataki watawaliwe na wanaume.

Mtakaangwa sana.
 
Wanawake wengi warembo ni watata, Yataka kuishi nao kwa akili na maarifa mengi!
Usikute hapo jamaa alishahangaika akagharamika weee alafu bint anajibu nyodo kanakwamba bado wapo kwenye uchumba wakati watu washafungua ukurasa wa maisha ya ndoa! Jambo jema hawakuwa na mtoto maana kumuacha mtoto katika hali ya uyatima wa ghafla namna hiyo ni mateso kwa kiumbe kisicho na hatia!
All in All Mungu awapumzishe kwa Amani!
 
Huwezi shindana na nature brother!hizo pesa utaendelea tu kutoa kwa kiumbe kinachoitwa mwanamke kila iitwayo leo,nimesoma sehemu unampaga mkeo hela si ndio eeh??that's what it is!......Haya huyo kolo kapata faida gani Sasa,kamkaanga huyo dada na yeye kajikaanga si upimbi huo?
 
Kubadilika kupo sikatai unaweza pata mtu ukaona ni sahihi kwako akaja kuchange badae. Nazungumzia wale toka kwene uchumba mtu alishapata red lights zote lkn anakazana tu kwa sababu ana pesa mwanamke atatulia, wewe umeokota mwanamke ni mpenda starehe kila weekend kiguu na njia yupo majumba ya starehe unamuoa alafu unataka eti atulie na ulimkuta na tabia zake hizo hizo kwa nini msiuane sasa? Tutafute watu tunaoendana nao.
 
Tuachane na Saidi unaemuita kolo, hiyo kazi aliyokuwa anafanya Swalha inayomfanya ashindwe kujaza mafuta kwenye hako ka IST au Raumu unakokaona ni hovyo, ni kazi gani? Si bora abaki nyumbani tu sasa kuliko kuzurura hovyo😂.

Unauliza kwa hela gani ila wengi humu hata kuingiza 1M kwa nguvu na akili zenu hamuwezi bila ya kutegemea wanaume, ni either mdange au muombe waume wenu. Wanawake wenye akili za kutengeneza pesa zao zisizo na makandokando ni wachache sana Tz hii

Achenu dharau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…