Mume akataa kutoa talaka

Mume akataa kutoa talaka

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Hii hadithi ni very filthy.
Nimeiona YouTube sasa hivi.
Apparently imetokea last week.
Huyu mdada anasimulia,wamekutana na huyu jamaa tik tok,baada ya urafiki wa miezii minne wamefunga ndoa .
Sasa mara akaanza kunotice majirani wananong'ona kuhusu ndoa yao.
Halafu siku moja kaja jamaa kumtembelea mume wake,akawasikiliza wanaongea,akamsikia yule mume wake anasema "Umekuja ambapo mimi nipo hapa najitayarisha kwenda kumuona yule Bwana wangu anayetoa hela nyingi."
Yule mdada akawa shocked na haya maneno.
Halafu siku nyingine tena yule mdada anarudi kutoka matembezi,anafika nyumbani,anamkuta mume wake yupo chumbani kwao anatafumwa na jamaa mwingine.
Kwa hiyo anasema,"Basi sasa,we mume nipe talaka."
Halafu anaondoka pale anaenda kuwaelezea wazazi wake kila kitu kilichotokea.
Lakini huyu mume hataki kutoa talaka. Anasema anampenda mke wake hataki kutoka talaka.
Like I said the story is filthy.
Lakini sidhani kama ni kweli sheikh hawezi kuifanya hii ndoa iwe null and void.
Hii ni extreme case. Lakini hizi talaka na divorce huwa zinakuwa na matatizo sana.
 
Mtoto wa Nyerere katika moja na mbili. Haya nenda kalie kwenye kaburi la mzee kwanini kawaacha maskini wakati akina Abdul wanakula maisha tu.
 
Ni ajabu kuhusu ushoga.
1954 Waingereza walipoweka sheria ya kukataza ushoga Tanganyika ndio mwaka huo huo waliohalalisha ushoga Uingereza. Walisema baada ya kuona mashoga siyo kidogo tunaamua kuhalalisha ushoga.
Kwa hiyo uamuzi ni wetu Watanzania kuamua kama Tanzania itashinda au ushoga utashinda.

Lakini this is one hell of a post. Jana usiku pale kuna watu walinitukana and my mind was unhinged all night long. Ninekaa macho mpaka daybreak. Now that I have had a little sleep I hope I will be able to make more reasonable posts.
But this attracted my attention because I saw a point of controversy there ilipoaema eti yule mume amekataa kutoa talaka.
Amefika mwanamke hapa nyumbani siku kushtaki kwa Mwalimu mume wake hataki kutoa talaka.
Mwalimu akashindwa kujua amsaidie vipi
Halafu mi nikasema hawa Waislamu wanazo sheria zao kuhusu mambo haya.
Mwalimu akaniambia,"Hebu wewe wasaidie hawa.". Maanake yule mama alikuwa amesindikizwa na mwenzako,a famous lady,but I will not mention her name.
 
Hii hadithi ni very filthy.
Nimeiona YouTube sasa hivi.
Apparently imetokea last week.
Huyu mdada anasimulia,wamekutana na huyu jamaa tik tok,baada ya urafiki wa miezii minne wamefunga ndoa .
Sasa mara akaanza kunotice majirani wananong'ona kuhusu ndoa yao.
Halafu siku moja kaja jamaa kumtembelea mume wake,akawasikiliza wanaongea,akamsikia yule mume wake anasema "Umekuja ambapo mimi nipo hapa najitayarisha kwenda kumuona yule Bwana wangu anayetoa hela nyingi."
Yule mdada akawa shocked na haya maneno.
Halafu siku nyingine tena yule mdada anarudi kutoka matembezi,anafika nyumbani,anamkuta mume wake yupo chumbani kwao anatafumwa na jamaa mwingine.
Kwa hiyo anasema,"Basi sasa,we mume nipe talaka."
Halafu anaondoka pale anaenda kuwaelezea wazazi wake kila kitu kilichotokea.
Lakini huyu mume hataki kutoa talaka. Anasema anampenda mke wake hataki kutoka talaka.
Like I said the story is filthy.
Lakini sidhani kama ni kweli sheikh hawezi kuifanya hii ndoa iwe null and void.
Hii ni extreme case. Lakini hizi talaka na divorce huwa zinakuwa na matatizo sana.
Talaka ya kisheria hutolewa mahakamani.
 
Back
Top Bottom