Mume aliyejela amuagiza mkewe chakula chenye sumu ili afe lakini kilipimwa na mke kukutwa na hatia

Mume aliyejela amuagiza mkewe chakula chenye sumu ili afe lakini kilipimwa na mke kukutwa na hatia

Imetokea magomeni mikumi
Ungewasilisha kama hivi.

 
Basi huyo maza ni chizi. Iweje asijue ataambiwa aonje?
Aliaminishwa na mmewe kafanya mchongo nae tamaa ya kuspend kwa uhuru sasa ikamjaa
 
Story za kukopi hazina issue. Jela chakula huonjwa na aliyeleta kwanza kabla ya kupewa mahabusu.

Story ya kukopi uongo
Naona una tatizo la kuelewa, aliyeleta chakula chenye sumu ni mke wa jamaa akaambiwa aonje kabla mahabusu hajapelekewa akakataa.
 
Mshikaji mmoja yupo jela kwa kesi ya mauaji. Alimuacha mke vizuri na kila kitu sasa mke wake akawa anakitembeza sana, anachapwa sana mtaani na vijana jamaa. Stori zikampata ikamuuma sana.

Siku mke kaenda kumtembelea jamaa kamwambia mke wangu humu siwezi kutoka niletee chakula chenye sumu nife.

Mke kweli wakati uliyofuata kaleta chakula chenye sumu, kimefika tu jamaa akamuomba mkewe akionje mke kakataa ndiyo jaama kuwaambia ma askari hakiamini kikapimwe icho chakula. Kwenye kupimwa kikakutwa na sumu, sasa hapo nani mshindi?
Story ya kukopi twitter na kuna mwingine kabla yako amepost masaa matatu nyuma.
 
Mshikaji mmoja yupo jela kwa kesi ya mauaji. Alimuacha mke vizuri na kila kitu sasa mke wake akawa anakitembeza sana, anachapwa sana mtaani na vijana jamaa. Stori zikampata ikamuuma sana.

Siku mke kaenda kumtembelea jamaa kamwambia mke wangu humu siwezi kutoka niletee chakula chenye sumu nife.

Mke kweli wakati uliyofuata kaleta chakula chenye sumu, kimefika tu jamaa akamuomba mkewe akionje mke kakataa ndiyo jaama kuwaambia ma askari hakiamini kikapimwe icho chakula. Kwenye kupimwa kikakutwa na sumu, sasa hapo nani mshindi?

Kwanza huko jela nani alimwambia jamaa kuwa mkewe watu wanaruka nae!tuanze hapo kwanza
 
.
 

Attachments

  • 198351-Hot-Tea-Vapor.gif
    198351-Hot-Tea-Vapor.gif
    858.9 KB · Views: 4
Ila hili jukwaa si la chitchat jamani?ww soma kama unasoma udaku
 
Back
Top Bottom