Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
Umeisoma lakin?Story za kukopi hazina issue. Jela chakula huonjwa na aliyeleta kwanza kabla ya kupewa mahabusu.
Story ya kukopi uongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeisoma lakin?Story za kukopi hazina issue. Jela chakula huonjwa na aliyeleta kwanza kabla ya kupewa mahabusu.
Story ya kukopi uongo
Isome vizuri na uieleweStory za kukopi hazina issue. Jela chakula huonjwa na aliyeleta kwanza kabla ya kupewa mahabusu.
Story ya kukopi uongo
Ungewasilisha kama hivi.Imetokea magomeni mikumi
Ni mpaka awe na akili ya kusoma na kuelewa. Hao vilaza sisi huwa tuna wa ignore tu.Umeisoma lakin?
Naona una tatizo la kuelewa, aliyeleta chakula chenye sumu ni mke wa jamaa akaambiwa aonje kabla mahabusu hajapelekewa akakataa.Story za kukopi hazina issue. Jela chakula huonjwa na aliyeleta kwanza kabla ya kupewa mahabusu.
Story ya kukopi uongo
Story ya kukopi twitter na kuna mwingine kabla yako amepost masaa matatu nyuma.Mshikaji mmoja yupo jela kwa kesi ya mauaji. Alimuacha mke vizuri na kila kitu sasa mke wake akawa anakitembeza sana, anachapwa sana mtaani na vijana jamaa. Stori zikampata ikamuuma sana.
Siku mke kaenda kumtembelea jamaa kamwambia mke wangu humu siwezi kutoka niletee chakula chenye sumu nife.
Mke kweli wakati uliyofuata kaleta chakula chenye sumu, kimefika tu jamaa akamuomba mkewe akionje mke kakataa ndiyo jaama kuwaambia ma askari hakiamini kikapimwe icho chakula. Kwenye kupimwa kikakutwa na sumu, sasa hapo nani mshindi?
Mshikaji mmoja yupo jela kwa kesi ya mauaji. Alimuacha mke vizuri na kila kitu sasa mke wake akawa anakitembeza sana, anachapwa sana mtaani na vijana jamaa. Stori zikampata ikamuuma sana.
Siku mke kaenda kumtembelea jamaa kamwambia mke wangu humu siwezi kutoka niletee chakula chenye sumu nife.
Mke kweli wakati uliyofuata kaleta chakula chenye sumu, kimefika tu jamaa akamuomba mkewe akionje mke kakataa ndiyo jaama kuwaambia ma askari hakiamini kikapimwe icho chakula. Kwenye kupimwa kikakutwa na sumu, sasa hapo nani mshindi?