"Mume amefariki leo, Mke anaolewa kesho"...!!!


Alikosea alitakiwa kusema anaenda kwa baba yake! ili watoto wabaki na mume!! kazi kweli kweli
 
namkumbuka james dandu alikufa hapa kwa ajali mkewe baada ya wiki mbili akambeba muuza sura mmoja kumpeleka ulaya walikokua wanaishi na mumewe dandu,hiyo inatokea lakini nadhani baada ya mkeo kukuchoka sana
 
Mkuu masuala ya ndo usipoenda nayo vyema na yakiwa yamekaa kushoto visa kama hivi hukosi
Watu wanaombeana wafe ili apate uhuru
Je kwenye kumuombea huko yeye Mungu akawa amepanga vingine kuwa mwanamke atangulie
Suluhisho sio kuombeana kifo ila ni kutafuta muafaka wa haya mambo na masuala ya ndoa mengi kukubali kujishusha na kutafuta kiini cha tatizo ndiko kwema
Bila hivyo muafaka hautokaa upatikane
 
Tatizo ni kuwa watu huharakisha sana suala la ndoa......unakutana na mtu hata hujamjua vizuri unatatfuta wazazi wake uoe......unapokuja kumjua vizuri too late......ndio haya ya kuombeana vifo
hilo unalosema kweli lipo lakini kuna wengine tumekaa nao miaka kumi then ndio tukafunga ndoa lakini bado mbeleni mnabadilika sana na hivi sheria ni pasu kwa pasu ndio maana mnaringa siku ikitokea tumetengana sioi tena nageuka snake tu.......
 
Kwa wasio ktk ndoa ni ngumu sana kuelewa na kuamini hilo.Mimi sijashtuka wala kushangaa maana ndoa na mahusiano mengi ya siku hz mkiwa wachache sana kwenye cycle basi mko 8 chini ya hapo hakuna.Ndoa nyingi zinaishi kwa mazoea tu na kusogeza siku mbele, bt nyingi ZILISHAVUNJIKA muda mrefu sana.
 
kinachompata huyu dada hadi kutamani mme wake afe ni kitendo cha mume wake kumfanya ajisikie hana thamani yoyote katika hii dunia ni heri afe kwa hiyo yeye nae anajisikia vibaya anamuombea kifo ili aone kama kwenye hii dunia yupo atakayeona thaman yake au la?na iwapo atakutana na mwanaume kama mume wake basi ataishia kujiua.
 

Sasa kwa nini asijiondokee hata leo ili aachane na manyanyaso?? Btw, kufanya kazi kwenye mshahara mnono sio guarantee kuwa hakuna wawezeshaji wa nje wanaompa kiburi hata kutamka maneno kama hayo!!
 

Dady bana!! mie nilijua kuwa upo kwenye sihasa tu.Kumbe hata kwenye viti virefu unaenda?Anyway Usihofu mummy hayupo kama hao uliowasikia kwenye viti virefu.I am praying for you dady.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…