Rev. Daniel Mgogo anasemajeBaada ya kusikiliza pande zote, mahakama ilisema pande hizo zina tofauti ambazo haziwezi kupata suluhu na kuamua ndoa hiyo ivunjwe
Hapo unakuta mume alianza kuchepuka baada ya mkewe kuwa mjamzito na ulezi..Kwa hyo bi mkubwa kavumilia matatizoo miaka 9 na miez 3 daaaa ukionaa ameamua kuondokaa yamemfkaa Koo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Usaliti hauna Tiba, full stopKwa hyo bi mkubwa kavumilia matatizoo miaka 9 na miez 3 daaaa ukionaa ameamua kuondokaa yamemfkaa Koo...
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja ije ijulikane, ndo utajua vizuri.Mambo madogo sana hayo.
Mimi nina mpenzi wangu mwanafunzi, nilimtambulisha kwa Girl friend wangu kua ni mtoto wa Dada yangu, hadi leo mpenzi wangu anajua yule binti ni mtoto wa sister maana kweli ananiita uncle na hata simu ikiita nimemsave uncle L..... na wala demu wangu hana shida.
Anaweza kuja kwangu weekend na girl friend wangu yupo wakakaa weekend yote wanapika na kupakua na kula vizuri anamuita untie na wako mashosti kabisa wanapendana vizuri ila mimi tu na uncle ndio tunajua kua hatuna undugu wowote tunatafunana tu.
Uncle L alifanya makosa chuo, nikaitwa kama mjomba nikasuluhisha na nikajuana na mwalimu wake mmoja niko kwenye harakati za kumtafuna halafu namkabidhi kazi ya kumchunga uncle wangu mzuri aniangalizie. Huyu mwalimu hua ananiambia mtoto wako mrembo na ana akili lakini mkorofi, mshauri. Nasisitiza kua nitamuonya aache ukorofi.
Muulize mama yako unaweza kuta nae alivumilia hayo usishangaeKwa hyo bi mkubwa kavumilia matatizoo miaka 9 na miez 3 daaaa ukionaa ameamua kuondokaa yamemfkaa Koo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupanga ni kuchagua soon unadakwaMambo madogo sana hayo.
Mimi nina mpenzi wangu mwanafunzi, nilimtambulisha kwa Girl friend wangu kua ni mtoto wa Dada yangu, hadi leo mpenzi wangu anajua yule binti ni mtoto wa sister maana kweli ananiita uncle na hata simu ikiita nimemsave uncle L..... na wala demu wangu hana shida.
Anaweza kuja kwangu weekend na girl friend wangu yupo wakakaa weekend yote wanapika na kupakua na kula vizuri anamuita untie na wako mashosti kabisa wanapendana vizuri ila mimi tu na uncle ndio tunajua kua hatuna undugu wowote tunatafunana tu.
Uncle L alifanya makosa chuo, nikaitwa kama mjomba nikasuluhisha na nikajuana na mwalimu wake mmoja niko kwenye harakati za kumtafuna halafu namkabidhi kazi ya kumchunga uncle wangu mzuri aniangalizie. Huyu mwalimu hua ananiambia mtoto wako mrembo na ana akili lakini mkorofi, mshauri. Nasisitiza kua nitamuonya aache ukorofi.
Ndo maana mpaka avatar inafanana na Uboooo.Mambo madogo sana hayo.
Mimi nina mpenzi wangu mwanafunzi, nilimtambulisha kwa Girl friend wangu kua ni mtoto wa Dada yangu, hadi leo mpenzi wangu anajua yule binti ni mtoto wa sister maana kweli ananiita uncle na hata simu ikiita nimemsave uncle L..... na wala demu wangu hana shida.
Anaweza kuja kwangu weekend na girl friend wangu yupo wakakaa weekend yote wanapika na kupakua na kula vizuri anamuita untie na wako mashosti kabisa wanapendana vizuri ila mimi tu na uncle ndio tunajua kua hatuna undugu wowote tunatafunana tu.
Uncle L alifanya makosa chuo, nikaitwa kama mjomba nikasuluhisha na nikajuana na mwalimu wake mmoja niko kwenye harakati za kumtafuna halafu namkabidhi kazi ya kumchunga uncle wangu mzuri aniangalizie. Huyu mwalimu hua ananiambia mtoto wako mrembo na ana akili lakini mkorofi, mshauri. Nasisitiza kua nitamuonya aache ukorofi.
Kama vipi kikao kirudiwe na katika matamshi yenu zitumike herufi kubwa kwa msisitizo zaidiBe mercy kavunja makubaliano ya kikao chetu cha juzi hapo alitakiwa kuwapenda wote mume na binam yake[emoji1787][emoji1787]
Hawezi kujua mkuu. Hawezi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja ije ijulikane, ndo utajua vizuri.
Iyo safi nitajaribuMambo madogo sana hayo.
Mimi nina mpenzi wangu mwanafunzi, nilimtambulisha kwa Girl friend wangu kua ni mtoto wa Dada yangu, hadi leo mpenzi wangu anajua yule binti ni mtoto wa sister maana kweli ananiita uncle na hata simu ikiita nimemsave uncle L..... na wala demu wangu hana shida.
Anaweza kuja kwangu weekend na girl friend wangu yupo wakakaa weekend yote wanapika na kupakua na kula vizuri anamuita untie na wako mashosti kabisa wanapendana vizuri ila mimi tu na uncle ndio tunajua kua hatuna undugu wowote tunatafunana tu.
Uncle L alifanya makosa chuo, nikaitwa kama mjomba nikasuluhisha na nikajuana na mwalimu wake mmoja niko kwenye harakati za kumtafuna halafu namkabidhi kazi ya kumchunga uncle wangu mzuri aniangalizie. Huyu mwalimu hua ananiambia mtoto wako mrembo na ana akili lakini mkorofi, mshauri. Nasisitiza kua nitamuonya aache ukorofi.
Hiyo unbeaten ina mwisho wakeMambo madogo sana hayo.
Mimi nina mpenzi wangu mwanafunzi, nilimtambulisha kwa Girl friend wangu kua ni mtoto wa Dada yangu, hadi leo mpenzi wangu anajua yule binti ni mtoto wa sister maana kweli ananiita uncle na hata simu ikiita nimemsave uncle L..... na wala demu wangu hana shida.
Anaweza kuja kwangu weekend na girl friend wangu yupo wakakaa weekend yote wanapika na kupakua na kula vizuri anamuita untie na wako mashosti kabisa wanapendana vizuri ila mimi tu na uncle ndio tunajua kua hatuna undugu wowote tunatafunana tu.
Uncle L alifanya makosa chuo, nikaitwa kama mjomba nikasuluhisha na nikajuana na mwalimu wake mmoja niko kwenye harakati za kumtafuna halafu namkabidhi kazi ya kumchunga uncle wangu mzuri aniangalizie. Huyu mwalimu hua ananiambia mtoto wako mrembo na ana akili lakini mkorofi, mshauri. Nasisitiza kua nitamuonya aache ukorofi.
Tena unalotokeaKuna baadhi ya makabila Hii kitu wanayo sana
Naomba kwa ridhaa yako nikazie!Mwanaume ni kitombi by nature kama jogoo tu, ieleweke hivyo