Mume ana wivu

Dena Amsi

R I P
Joined
Aug 17, 2010
Posts
13,080
Reaction score
4,273
Kuna dada tunafanya nae kazi huku nje ya Tanzania, kaolewa mumewe yupo Dar ndoa yako ina miaka mitano, toka tumekuja huku jamaa anagombana na mkewe kila kukicha tangu mwezi wa 5 tuko huku huyu dada hana raha kabisa mumewe kila akipiga simu akisikia tu sauti hata ya gari ataanza kuuliza hapo uko wapi hujafika nyumbani na amesahau kuwa huku tunatumia usafiri wa public.

Mbaya zaidi amemkasirikia toka ijumaa hajaongea na yeye huyu dada hata kazi inamshinda analia tu kila mara. Amefikia kusema kuwa anataka kurudi maana hali imefika pabaya. Na mkataba tulipewa three years? Je? Aache kazi arudi Dar ama afanyeje mie nimeshindwa kumshauri maana ukiongea nae tu analia nikaona niilete hapa tumshauri. Tafadhali nisaidieni najua humu nitapata jibu
 
Kama mume anaelekea kuwa na uwezo wa kumudu maisha yao vizuri, basi akubali ku-risk....aache kazi for the sake of ndoa...
Otherwise kama mme ni wivu halafu uwezo mdogo........:A S-confused1:
 
mambo ya Ngoswe mwachie Ngoswe mwenyewe wala usiumize kichwa kwa mambo ya watu achana nao watakuchanganya akili tu wanajuana wenyewe fuata ya kwako
 
kaz kuuuuubwa
bora arud b4 ajaharibu kaz ya watu
mwambie aache kuwa mlaini kias icho yan kweli kwenye kitu cha maendeleo km icho washndwa kumconvnce mumeo akakuelewa?lakn i inatokana na mambo meeeng ikiwemo ya kutojengeana uaminifu tangu mwanzon ndo matokeo yake haya....kila dk unazan mkeo /mumeo anadinya....
...aongee na mume wake amtafutie kaz kabsa then arudi afanye uku manake asje akarud akaanza kukuna naz tu
..aangalie nini kinamata kwake NI FAMILY O CAREER?
MANAKE UNAWEZA KAA UKO UKARUDI NA MAHELA TEEEELE NA UKAKUTA FAMILIA IMEBOMOKA NA UKAJUTA MAISHA ..aangalie nini yeye ataka..ela znatafutwa familia iliyopotea kuitafuta tena haiwezekani ...
 

Thank you Rose hapa umesema kweli kabisa. Thanks
 
Kama mume anaelekea kuwa na uwezo wa kumudu maisha yao vizuri, basi akubali ku-risk....aache kazi for the sake of ndoa...
Otherwise kama mme ni wivu halafu uwezo mdogo........:A S-confused1:

RR mume hana uwezo sana ndio maana kamruhusu kuja kufanya kazi huku kwenye risasi kila kukicha ila sababu mshiko mrefu mara saba ya aliokuwa anapata bongo ndo akaja. Hata kashafanya mambo kibao toka aje huku lakini jamaa haoni hilo
 
Kama mume anaelekea kuwa na uwezo wa kumudu maisha yao vizuri, basi akubali ku-risk....aache kazi for the sake of ndoa...
Otherwise kama mme ni wivu halafu uwezo mdogo........:A S-confused1:

Mwanaume Suruali??
 
RR mume hana uwezo sana ndio maana kamruhusu kuja kufanya kazi huku kwenye risasi kila kukicha ila sababu mshiko mrefu mara saba ya aliokuwa anapata bongo ndo akaja. Hata kashafanya mambo kibao toka aje huku lakini jamaa haoni hilo

That explains everything... Mwanaume anajisikia inferior... na hilo tatizo ni kubwa sana, sijui atasaidiwaje... ila kwa ufupi ni kwamba, dada aache kazi arudi TZ akae na mume wake...
 
Mwanaume Suruali??

Suruali kidogo kwani anatumiwa hata mpaka pesa ya kula? Na hich ndo kinamuumiza sababu saa zote anawaza familia yake tu. Lakini aaminiki. Thanks for this
 
Suruali kidogo kwani anatumiwa hata mpaka pesa ya kula? Na hich ndo kinamuumiza sababu saa zote anawaza familia yake tu. Lakini aaminiki. Thanks for this


acmuendekeze, sasa akirudi waangaliane hapo ndani tu...hebu mdada atafite maisha huyo.
 
Suruali kidogo kwani anatumiwa hata mpaka pesa ya kula? Na hich ndo kinamuumiza sababu saa zote anawaza familia yake tu. Lakini aaminiki. Thanks for this

Dena hili ni tatizo kubwa sana... huyo dada atapata tabu sana aisee... Anaweza kuamua kukaa huko amalize mkataba wake akakuta mume ameoa mke mwingine kwa inferiority complex yake "atadai... Anamkomoa"... Bora aje afanye kazi huku aangalie familia yake.
 
acmuendekeze, sasa akirudi waangaliane hapo ndani tu...hebu mdada atafite maisha huyo.

Shida hapo ndo ilipo. Anafikiria akirudi watakula nini? Jamaa nakikampuni fulani tu si cha mshiko kivile
 

Askofu umetaja jina langu vizuri unalijua nini. Mie nawashukuru nitaprint ushauri wote halafu nitawapa majibu
 
bado cjaacha kazi yangu...
acmuendekeze, sasa akirudi waangaliane hapo ndani tu...hebu mdada atafite maisha huyo.

Unajua inategemea mdada anampenda mumewe kwa kiwango gani, bahati mbaya mwanaume akishakuwa wa dizaini hii hajali maslahi ya familia, hafikirii watoto wala future ya watoto, yeye saa zote anawaza anaibiwa tu... Sana sana hata akitumiwa hela anaenda ku-spend na wanawake wengine (kwa sababu wengi wa dizaini ni wanachama wa ISC). Na kutokana na maelezo ya mwandishi ni kwamba mdada anampenda muwewe sana, kwa hiyo yuko radhi kuacha kazi arudi waangaliane... at the end of the day huyo mdada ndo ataendelea tena kuhangaikia familia... :mmph:
 
kama wanandoa sidhani kama watashindwa kuyamaliza..amuulize mume wake anataka nini kwanza,aongee nae kiurefu 2 make things right,.family ni muhimu but sidhani kwa dunia ya sasa kukaa bila kazi is good for the family's welfare..avunje ukimya:A S 103:
 
Shida hapo ndo ilipo. Anafikiria akirudi watakula nini? Jamaa nakikampuni fulani tu si cha mshiko kivile



mie bwana mwanaume hanifanyi nikaacha kazi yangu, nimetokea huko mie, mr kulazimishwa na mama yake anishinikize niache kazi, maamuzi yangu yalikuwa kwamba kazi ctaacha sasa yeye ndio aamua afanyaje, dunia ya leo uache kazi ukae nyumbani kuomba mpaka hela ya pedi....haiwezekani...ali surrender mwenyewe akaona wife hamnazo, lakini nilikuwa tayari kwa lolote sio kuacha kazi yangu...khaa
 

nadhani wengi wetu tunawapenda sana waume zetu, kama mie nampenda sana tena sana mr wangu...lakini kwenye upuuzi mapenzi pembeni.
 


Yaleyale??????????????????????????????????????????????????/
 

Good comment!nadhani hapa Rose ulikuwa tayari umeshiba chai na viazi vyako vitamu vya kukaanga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…